Tofauti kati ya akili ya mwanamume na mwanamke:

mwanamke yupo kwa ajili ya kumpa changamoto mwanaume.

ila Mwanaume yupo kwa ajili ya kufuta makosa ya mwanamke.!!!
 
wanawake wanatumia FEELINGS zaidi wanaume wanatumia fACTS!!!
 
Mwanamke hutembea na kioo kwenye mkoba wake ili ajiangalie muda wowote...MWANAUME bora shati iwe imechanika kola ila kiatu kiwe imara...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…