Bia inatengenezwa na hopa and grains wakati jamii ya kiriba ni distilled ya vimea vinavoweza kutengeneza bia.
Ni vema ukatumia viroba kuliko bia kwasababu bia ina kiasi kidogo sana cha ulevi kwenye ujazo kinachobaki ni maji sio safi sana na mangano iliyochacha wakati kiribo ni kinakiasi kikubwa cha ulevi kiaai kidogo ni maji yaliyochujwa kwa njia ya umvuke baada ya kupoozwa ambayo ni safi na salama.
Uhauri ni vizuri unywa kiroba kwani lengo la kunywa ni kupata steam na kuchangamka utatumia kiasi kidogo cha kiroba ili upate steam na kuburudika ambapo kama ni bia utabidi unywe bia nyingi sana ili upate hiyo starehe.