Tofauti kati ya biashara na uwekezaji ni ipi?

Tofauti kati ya biashara na uwekezaji ni ipi?

Mtuache

JF-Expert Member
Joined
Mar 12, 2021
Posts
256
Reaction score
658
Habari za muda huu wana Jamii Forums.

Takribani wiki nzima sasa nimekuwa nikijiuliza hili swali "Tofauti kati ya biashara na uwekezaji ni ipi" linaweza likawa swali la kijinga au la kitoto kwa baadhi yenu lakini binafsi limekuwa likinitatiza sana na ningependa kujua.

KARIBUNI
 
Uwekezaji unachukua mda mrefu sn kupata faida ila Biashara inachukua mda mchache kupata faida let say shop na markets wanafany biashar lakini ukija kweny kilimo hii tunaita uwekezaji yan nguvu na fedha .
 
Habari za muda huu wana Jamii Forums.

Takribani wiki nzima sasa nimekuwa nikijiuliza hili swali "Tofauti kati ya biashara na uwekezaji ni ipi" linaweza likawa swali la kijinga au la kitoto kwa baadhi yenu lakini binafsi limekuwa likinitatiza sana na ningependa kujua.

KARIBUNI
Vinaweza kuwa sawa au tofauti zaidi kutegemea na role yako wewe kwenye hiyo economic activity na pia malengo yako. Inategemea pia na muktadha husika.

Mara nyingi kama role yako ni active basi hiyo ni biashara na kama ni passive basi hiyo ni uwekezaji. Kama malengo yako ni kupata faida/kipato kwa kununua (kuongeza thamani) na kisha kuuza, hiyo ni biashara. Kama lengo lako ni kununua na kusubiri kwa muda thamani ya ulichonunua ipande (bila wewe kufanya chochote katika kuongeza thamani hiyo) basi huo ni uwekezaji. Lakini zipo exceptions kadhaa kwenye hizi kanuni, but tuziache kando kwa sasa.

Nitakupa mifano.

1. Kama umenunua hisa kwenye kampuni iliyoorodheshwa kwenye soko la hisa (DSE) na wewe unafanya mambo yako mengine (say umeajiriwa mahali) basi huo ni uwekezaji.

2. Kama una nyumba zako za kupangisha, na hufanyi chochote zaidi ya kusubiri rent za mwaka au kila mwezi, huo ni uwekezaji. But ukiwa kama NHC unajenga na kuuza nyumba, hiyo ni biashara au pia kama una operate serviced apartments (kama hotel fulani hivi), hiyo inakua biashara.

3. Ukiwa na duka na unaliendesha mwenyewe, hiyo ni biashara. But kama kuna mtu umemkopesha pesa au umeweka mtaji ili aendeshe duka na wewe hauhusiki na uendeshaji wake kabisa isipokuwa unasubiri kugawana faida au riba, huo ni uwekezaji (ni kama huo mfano wa kwanza wa shares).

Naamini maelezo haya yatakupa pa kuanzia kutafakari na kufanya utafiti zaidi.
 
Vinaweza kuwa sawa au tofauti zaidi kutegemea na role yako wewe kwenye hiyo economic activity na pia malengo yako. Inategemea pia na muktadha husika.

Mara nyingi kama role yako ni active basis hiyo ni biashara na kama ni passive basi hiyo ni uwekezaji. Kama malengo yako ni kupata faida/kipato kwa kununua (kuongeza thamani) na kisha kuuza, hiyo ni biashara. Kama lengo lako ni kununua na kusubiri kwa muda thamani ya ulichonunua ipande thamani (bila wewe kufanya chochote katika kuongeza thamani hiyo) basi huo ni uwekezaji. Lakini zipo exceptions kadhaa kwenye hizi kanuni, but tuziache kando kwa sasa.

Nitakupa mifano.

1. Kama umenunua hisa kwenye kampuni iliyoorodheshwa kwenye soko la hisa (DSE) na wewe unafanya mambo yako mengine (say umeajiriwa mahali) basi huo ni uwekezaji.

2. Kama una nyumba zako za kupangisha, na hufanyi chochote zaidi ya kusubiri rent za mwaka au kila mwezi, huo ni uwekezaji. But ukiwa kama NHC unajenga na kuuza nyumba, hiyo ni biashara au pia kama una operate serviced apartments (kama hotel fulani hivi), hiyo inakua biashara.

3. Ukiwa na duka na unaliendesha mwenyewe, hiyo ni biashara. But kama kuna mtu umemkopesha pesa au umeweka mtaji ili anedeshe duka na wewe hauhusiki na uendeshaji wake kabisa isipokuwa unasubiri kugawana faida au riba, huo ni uwekezaji (ni kama huo mfano wa kwanza wa shares).

Naamini maelezo haya yatakupa pa kuanzia kutafakari na kufanya utafiti zaidi.
Asante sana kiongozi nimekuelewa vizuri mno. Shukran
 
Habari za muda huu wana Jamii Forums.

Takribani wiki nzima sasa nimekuwa nikijiuliza hili swali "Tofauti kati ya biashara na uwekezaji ni ipi" linaweza likawa swali la kijinga au la kitoto kwa baadhi yenu lakini binafsi limekuwa likinitatiza sana na ningependa kujua.

KARIBUNI
Jibu ni simple, biashara na uwekezaji hazina tofauti mkuu. Biashara ni njia moja wapo ya uwekezaji, in simple english any business is a form of investment the only difference is in the form of payouts or return on investment.
 
mi nauliza hivi kama unafanya investments mfano unanyumba za kupangisha 30, sasa mfano chukulia nyumba zote zimepata wateja,

hapo kwanza utaanza kuingiza faida ya rents za wapangaji wako, say kila nyumba laki mbili so jumla inakuwa milioni sita kwa mwezi, sasa kumbuka ujenzi wako umekula fedha nyingi sana mfano kila nyumba mil.60 kwa nyumba zote inakuwa 1.8bilioni

sasa kama kwa mwezi nyumba zinakupa rents ya mil,6 nikichukuwa 1.8bil gawa kwa mil 6 napata miezi 300 sawa na miaka 25 kwa kutegemea rents tu, inakuhitaji miaka walau 25 hela yako kurudi ni mingi sanaa hapo matengenezo bado hujayapigia, nayenyewe narudisha faida chini

sasa nabuni mbinu ambayo, naenda kugeuza investments kwenda katika high risk(biashara) nyumba zote zikiwa na wapangaji, nitakachofanya hela ya rents naitumia kama matumizi ya nyumbani kama vile chakula,mavazi, then naingia bank naziweka nyumba zote rehani, napewa mkopo natafuta kitu cha risk kidogo natia pesa yangu yote kule ikitokea results are postive, yaani nimepata profit ya 1.8bil sawa na gharama nilizotumia kujengaa, basi bank nawarudishia hela yao wananipitia hati zangu na bank nabakiwa na profit ya 1.8bil ambayo ni gharama niliyotumia kujenga nyumba zangu hapo nakuwa wapangaji nimewauza bila kujijua, hapo nakuwa hela yangu ya ujenzi imerudi below 25 years, na naendlea kula rents za wapangaji na vilevile hata nikitumia tena kiasi cha pesa kufanya matengenezo nakuwa niko sawa coz ni part ya profits nimetumia, nyumba nazipangisha sio kwamba nategeme hela ya wapangaji hapana, ila hela yao ni kwa ajili ya matumizi ya nyumbani, na pia nawapangisha kuzifanya nyumba ziwe ACTIVE, na pia bila wao kujijua nawafanya kuwa walinzi, na mwisho wananilipa kwa interms of rents badala ya wao niwalipe.

ni mawazo yamenijia kuimove invetsments kwenda kwenye breakeven kwa muda mufupi japo ni high risk, kuliko kuicha hadi muda ufike ndo ifike kwenye breakeven hapo unaweza kuwa teali umekufa, unakuwa umeambulia kula rents wenzio waliobaki wanamanga karibia 70% ya dhamani ya majengo yote bila jasho. so ni mmoja ya njia ya kula faida mapema ya majengo ukiachana na rents, ili hata ukifa na utakaowaachia nawenyewe watakula faida sawa na wewe

inaitwa equity diversifications
sasa hapa sijui niseme nimefanya investments au bisiness, maana nimeanza na kuwekeza, then nikaubadili uwekezaji kuwa biashara then biashara nikairudisha mwanzo kwenye uwekezaji.

lengo la kuamishahamisha ni kutransforms risks kutoka negative kwenda postive na kutoka postive kwenda negative, lengo nikumaxmizing profits, ukiwa katika negative unakuwa katika risks ya kupata faida kubwa na kupata loss kubwa na ukiwa katika postive, unakuwa katika risk ndogo ya kupoteza na utapata faida kidogokidogo.

mimi napenda niwe na investments lakini hizo investments nizifanyie speculations, nikipiga real estate zangu zinabaki palepale, nikipigwa zinabigwa mnada..

ili speculations isiharibu investments zangu, itabidi nijifunze kumanage risks, kwamba mkopo wa bank nitatumia only 10% kutafuta riba yao na asilimia 90% iliyobaki kwenye account, ikitokea 10% nimepata riba yao + 90% ya hela niliyopewa na bank kama mkopo, basi nitachukilia investments imenipata faida mala mbili, ukiachana na rents, na ikitokea nimepigwa hiyo 10% basi nachukulia nimepoteza asimilia ndogo sana so haina effects sana kwenye investments zangu kufikia kupigwa mnada , tofauti na watu wengine watumiayo hela yote ya mkopo kwenda kwenye biashara, wanasema d'ont put all egges into one bucket wakimmanisha ikitokea ndoo imedondoka mayai yanaweza vunjika yote na ukapoteza kila kitu,


kumbe wewe muulizaji uwekezaji, unalow return na low risk
biashara ina high return na high risks biashara ni kama speculation(arbtrage) so nichaguo lako ufanye nini.

Ahasante
 
mi nauliza hivi kama unafanya investments mfano unanyumba za kupangisha 30, sasa mfano chukulia nyumba zote zimepata wateja,

hapo kwanza utaanza kuingiza faida ya rents za wapangaji wako, say kila nyumba laki mbili so jumla inakuwa milioni sita kwa mwezi, sasa kumbuka ujenzi wako umekula fedha nyingi sana mfano kila nyumba mil.60 kwa nyumba zote inakuwa 1.8bilioni

sasa kama kwa mwezi nyumba zinakupa rents ya mil,6 nikichukuwa 1.8bil gawa kwa mil 6 napata miezi 300 sawa na miaka 25 kwa kutegemea rents tu, inakuhitaji miaka walau 25 hela yako kurudi ni mingi sanaa hapo matengenezo bado hujayapigia, nayenyewe narudisha faida chini

sasa nabuni mbinu ambayo, naenda kugeuza investments kwenda katika high risk(biashara) nyumba zote zikiwa na wapangaji, nitakachofanya hela ya rents naitumia kama matumizi ya nyumbani kama vile chakula,mavazi, then naingia bank naziweka nyumba zote rehani, napewa mkopo natafuta kitu cha risk kidogo natia pesa yangu yote kule ikitokea results are postive, yaani nimepata profit ya 1.8bil sawa na gharama nilizotumia kujengaa, basi bank nawarudishia hela yao wananipitia hati zangu na bank nabakiwa na profit ya 1.8bil ambayo ni gharama niliyotumia kujenga nyumba zangu hapo nakuwa wapangaji nimewauza bila kujijua, hapo nakuwa hela yangu ya ujenzi imerudi below 25 years, na naendlea kula rents za wapangaji na vilevile hata nikitumia tena kiasi cha pesa kufanya matengenezo nakuwa niko sawa coz ni part ya profits nimetumia, nyumba nazipangisha sio kwamba nategeme hela ya wapangaji hapana, ila hela yao ni kwa ajili ya matumizi ya nyumbani, na pia nawapangisha kuzifanya nyumba ziwe ACTIVE, na pia bila wao kujijua nawafanya kuwa walinzi, na mwisho wananilipa kwa interms of rents badala ya wao niwalipe.

ni mawazo yamenijia kuimove invetsments kwenda kwenye breakeven kwa muda mufupi japo ni high risk, kuliko kuicha hadi muda ufike ndo ifike kwenye breakeven hapo unaweza kuwa teali umekufa, unakuwa umeambulia kula rents wenzio waliobaki wanamanga karibia 70% ya dhamani ya majengo yote bila jasho. so ni mmoja ya njia ya kula faida mapema ya majengo ukiachana na rents, ili hata ukifa na utakaowaachia nawenyewe watakula faida sawa na wewe

inaitwa equity diversifications
sasa hapa sijui niseme nimefanya investments au bisiness, maana nimeanza na kuwekeza, then nikaubadili uwekezaji kuwa biashara then biashara nikairudisha mwanzo kwenye uwekezaji.

lengo la kuamishahamisha ni kutransforms risks kutoka negative kwenda postive na kutoka postive kwenda negative, lengo nikumaxmizing profits, ukiwa katika negative unakuwa katika risks ya kupata faida kubwa na kupata loss kubwa na ukiwa katika postive, unakuwa katika risk ndogo ya kupoteza na utapata faida kidogokidogo.

mimi napenda niwe na investments lakini hizo investments nizifanyie speculations, nikipiga real estate zangu zinabaki palepale, nikipigwa zinabigwa mnada..

ili speculations isiharibu investments zangu, itabidi nijifunze kumanage risks, kwamba mkopo wa bank nitatumia only 10% kutafuta riba yao na asilimia 90% iliyobaki kwenye account, ikitokea 10% nimepata riba yao + 90% ya hela niliyopewa na bank kama mkopo, basi nitachukilia investments imenipata faida mala mbili, ukiachana na rents, na ikitokea nimepigwa hiyo 10% basi nachukulia nimepoteza asimilia ndogo sana so haina effects sana kwenye investments zangu kufikia kupigwa mnada , tofauti na watu wengine watumiayo hela yote ya mkopo kwenda kwenye biashara, wanasema d'ont put all egges into one bucket wakimmanisha ikitokea ndoo imedondoka mayai yanaweza vunjika yote na ukapoteza kila kitu,


kumbe wewe muulizaji uwekezaji, unalow return na low risk
biashara ina high return na high risks biashara ni kama speculation(arbtrage) so nichaguo lako ufanye nini.

Ahasante
Kumbuka kuna investments zenye high risks vile vile, uende mbele urudi nyuma biashara na uwekezaji ni watoto wa mama na baba mmoja..tofauti yao ikiwa ni majina tu. How you categorize and define them kwny income portfolio yako it is all up to you.
 
Kumbuka kuna investments zenye high risks vile vile, uende mbele urudi nyuma biashara na uwekezaji ni watoto wa mama na baba mmoja..tofauti yao ikiwa ni majina tu. How you categorize and define them kwny income portfolio yako it is all up to you.
kama zipi hizo investments zenye risk kubwa????
 
Zipo kibao tu, ila mfano wa ETFs au hata NFTs unatosha hapa, ila zipo nyingne nyingi tu. Pump & Dump cryptos etc
ETFs ,NFTs, hapa mi mwi mweupe hapa, pump and dump cryptos hapa siilewi na sijui wapi wanaifanya tanzania, mi ninazojua ni kilimo,nyumba,ufugaji,kilimo, na ninavyojua investments huwa zina 10% marejesho kwa mwaka, pia nafahamu huwa zina low risk yaani hela inakuwa illiquid, ndo maana ni ngumu kupoteza kwa haraka, illiquid assets ndo investments, biashara ni liquid assets, kwa sababu bidhaa ni rahisi kuwa converted kwenda cash, sio kama nyumba, yaani hadi uje uiiuze sio siku moja, it takes time..

sasa hizo mambo ndugu mi mweupe kabisa, labda utueleze zina deal na nini ili tujue ni biashara ama investments.
 
ETFs ,NFTs, hapa mi mwi mweupe hapa, pump and dump cryptos hapa siilewi na sijui wapi wanaifanya tanzania, mi ninazojua ni kilimo,nyumba,ufugaji,kilimo, na ninavyojua investments huwa zina 10% marejesho kwa mwaka, pia nafahamu huwa zina low risk yaani hela inakuwa illiquid, ndo maana ni ngumu kupoteza kwa haraka, illiquid assets ndo investments, biashara ni liquid assets, kwa sababu bidhaa ni rahisi kuwa converted kwenda cash, sio kama nyumba, yaani hadi uje uiiuze sio siku moja, it takes time..

sasa hizo mambo ndugu mi mweupe kabisa, labda utueleze zina deal na nini ili tujue ni biashara ama investments.
Return on investment sio fixed at 10% kwa mwaka, ROI ni kitu flexible inategemea na wapi umewekeza capital yako. Na kwny ishu za kua liquid hisa, crypto currency and other financial instruments zimekua very easy to trade sikuizi. There very volatile na zina very high risk ndo maana nkasema biashara na investment hakuna tofauti zaidi ya majina tu.
 
ETF ni exchange traded fund inacomprise a collection of securities na NFT ni non fungible tokens hizi zina kua in form of unique digital art. Ningeelezea zaidi ila naona uvivu naombeni mkagugo tu😂😂
 
mi nauliza hivi kama unafanya investments mfano unanyumba za kupangisha 30, sasa mfano chukulia nyumba zote zimepata wateja,

hapo kwanza utaanza kuingiza faida ya rents za wapangaji wako, say kila nyumba laki mbili so jumla inakuwa milioni sita kwa mwezi, sasa kumbuka ujenzi wako umekula fedha nyingi sana mfano kila nyumba mil.60 kwa nyumba zote inakuwa 1.8bilioni

sasa kama kwa mwezi nyumba zinakupa rents ya mil,6 nikichukuwa 1.8bil gawa kwa mil 6 napata miezi 300 sawa na miaka 25 kwa kutegemea rents tu, inakuhitaji miaka walau 25 hela yako kurudi ni mingi sanaa hapo matengenezo bado hujayapigia, nayenyewe narudisha faida chini

sasa nabuni mbinu ambayo, naenda kugeuza investments kwenda katika high risk(biashara) nyumba zote zikiwa na wapangaji, nitakachofanya hela ya rents naitumia kama matumizi ya nyumbani kama vile chakula,mavazi, then naingia bank naziweka nyumba zote rehani, napewa mkopo natafuta kitu cha risk kidogo natia pesa yangu yote kule ikitokea results are postive, yaani nimepata profit ya 1.8bil sawa na gharama nilizotumia kujengaa, basi bank nawarudishia hela yao wananipitia hati zangu na bank nabakiwa na profit ya 1.8bil ambayo ni gharama niliyotumia kujenga nyumba zangu hapo nakuwa wapangaji nimewauza bila kujijua, hapo nakuwa hela yangu ya ujenzi imerudi below 25 years, na naendlea kula rents za wapangaji na vilevile hata nikitumia tena kiasi cha pesa kufanya matengenezo nakuwa niko sawa coz ni part ya profits nimetumia, nyumba nazipangisha sio kwamba nategeme hela ya wapangaji hapana, ila hela yao ni kwa ajili ya matumizi ya nyumbani, na pia nawapangisha kuzifanya nyumba ziwe ACTIVE, na pia bila wao kujijua nawafanya kuwa walinzi, na mwisho wananilipa kwa interms of rents badala ya wao niwalipe.

ni mawazo yamenijia kuimove invetsments kwenda kwenye breakeven kwa muda mufupi japo ni high risk, kuliko kuicha hadi muda ufike ndo ifike kwenye breakeven hapo unaweza kuwa teali umekufa, unakuwa umeambulia kula rents wenzio waliobaki wanamanga karibia 70% ya dhamani ya majengo yote bila jasho. so ni mmoja ya njia ya kula faida mapema ya majengo ukiachana na rents, ili hata ukifa na utakaowaachia nawenyewe watakula faida sawa na wewe

inaitwa equity diversifications
sasa hapa sijui niseme nimefanya investments au bisiness, maana nimeanza na kuwekeza, then nikaubadili uwekezaji kuwa biashara then biashara nikairudisha mwanzo kwenye uwekezaji.

lengo la kuamishahamisha ni kutransforms risks kutoka negative kwenda postive na kutoka postive kwenda negative, lengo nikumaxmizing profits, ukiwa katika negative unakuwa katika risks ya kupata faida kubwa na kupata loss kubwa na ukiwa katika postive, unakuwa katika risk ndogo ya kupoteza na utapata faida kidogokidogo.

mimi napenda niwe na investments lakini hizo investments nizifanyie speculations, nikipiga real estate zangu zinabaki palepale, nikipigwa zinabigwa mnada..

ili speculations isiharibu investments zangu, itabidi nijifunze kumanage risks, kwamba mkopo wa bank nitatumia only 10% kutafuta riba yao na asilimia 90% iliyobaki kwenye account, ikitokea 10% nimepata riba yao + 90% ya hela niliyopewa na bank kama mkopo, basi nitachukilia investments imenipata faida mala mbili, ukiachana na rents, na ikitokea nimepigwa hiyo 10% basi nachukulia nimepoteza asimilia ndogo sana so haina effects sana kwenye investments zangu kufikia kupigwa mnada , tofauti na watu wengine watumiayo hela yote ya mkopo kwenda kwenye biashara, wanasema d'ont put all egges into one bucket wakimmanisha ikitokea ndoo imedondoka mayai yanaweza vunjika yote na ukapoteza kila kitu,


kumbe wewe muulizaji uwekezaji, unalow return na low risk
biashara ina high return na high risks biashara ni kama speculation(arbtrage) so nichaguo lako ufanye nini.

Ahasante
Kusubiria hela miaka 25 ndio siwezi! Yani leo hii nikipiga hio TZS 1.08B sitataka kusikia la muhazini wala la mnadi swala ni direct BOT kujisajili kwenye hati fungani nianze kula 15% yangu kwa kila mwaka! Ni pesa ndefu tu ntakuwa napokea wala sihitaji kuanza kuteseka na mabiashara hela inaletaga hela tu. Waniingizie mzigo wangu huo kila mwaka tu nipambane nao!

Nalaza B yote hapo hio million 80 ndio nitakayohangaika nayo sasa kwenye biashara na kujenga kabanda kangu hata ka million 45 kwanza
 
Habari za muda huu wana Jamii Forums.

Takribani wiki nzima sasa nimekuwa nikijiuliza hili swali "Tofauti kati ya biashara na uwekezaji ni ipi" linaweza likawa swali la kijinga au la kitoto kwa baadhi yenu lakini binafsi limekuwa likinitatiza sana na ningependa kujua.

KARIBUNI
Biashara na uwekezaji tofauti yake ni kiwango chako cha ushiriki katika shughuli husika.Unasema umewekeza pale ambapo umetoa mtaji pesa lakinihaushirikia kwa kiwango kikubwa katika uendeshaji na usimamizi wa shughuli za kibiashara.Ila iwapo unashiriki katika usimamizi na uendeshaji basi unakuwa unafanya biashara.

Hata hivyo hivi ni vitu vinavotegemeana kwani bila kuwekeza hakuna biashara na bila biashara hakuna uwekezaji.
 
Return on investment sio fixed at 10% kwa mwaka, ROI ni kitu flexible inategemea na wapi umewekeza capital yako. Na kwny ishu za kua liquid hisa, crypto currency and other financial instruments zimekua very easy to trade sikuizi. There very volatile na zina very high risk ndo maana nkasema biashara na investment hakuna tofauti zaidi ya majina tu.
umeeleza vizuri kuhusu ROI, hongera sio fixed ni frexible but at least icheze kwenye 10% ila mimi niko addicted na speculation business , so huwa natumia fixed assets nazifanyia speculations, then namaxmizing ROI ya asset husika, so natengeneza profit kwa mtindo huo
 
Kusubiria hela miaka 25 ndio siwezi! Yani leo hii nikipiga hio TZS 1.08B sitataka kusikia la muhazini wala la mnadi swala ni direct BOT kujisajili kwenye hati fungani nianze kula 15% yangu kwa kila mwaka! Ni pesa ndefu tu ntakuwa napokea wala sihitaji kuanza kuteseka na mabiashara hela inaletaga hela tu. Waniingizie mzigo wangu huo kila mwaka tu nipambane nao!

Nalaza B yote hapo hio million 80 ndio nitakayohangaika nayo sasa kwenye biashara na kujenga kabanda kangu hata ka million 45 kwanza
mkuu uko vizuri , sema mimi niko motivated na bonds, sema na maswali hiyo asilimia 15% si inakuwa affected na offer uliyoweka kwenye aution yako, kwamba kila shilingi mia, nitaiishusha may be 75, 80, 90, 95 sasa kadri unavyoishusha tsh 100, ndivyo faida ndivyo faida itakavyoongezeka.. na ukiishusha kidogo utapata faida kidogo sasa sijajua ile bond calculator inazingatia offer ya shingapi kwa kila shilingi mia, ? maana yenyewe unaipa tu figure ya capital yako, then inakupa annualy return hadi 25 years,..

kingine naomba unieleze competitive and non competitive auctions ipi ni nzuri, na kwa nini?
 
mkuu uko vizuri , sema mimi niko motivated na bonds, sema na maswali hiyo asilimia 15% si inakuwa affected na offer uliyoweka kwenye aution yako, kwamba kila shilingi mia, nitaiishusha may be 75, 80, 90, 95 sasa kadri unavyoishusha tsh 100, ndivyo faida ndivyo faida itakavyoongezeka.. na ukiishusha kidogo utapata faida kidogo sasa sijajua ile bond calculator inazingatia offer ya shingapi kwa kila shilingi mia, ? maana yenyewe unaipa tu figure ya capital yako, then inakupa annualy return hadi 25 years,..

kingine naomba unieleze competitive and non competitive auctions ipi ni nzuri, na kwa nini?
Mkuu wacha nikatafte PGO maana hapo nimepoteana tayari 😅
 
Back
Top Bottom