Tofauti kati ya Bsc with Education na Bsc in Education

Tofauti kati ya Bsc with Education na Bsc in Education

tzhumoally

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2015
Posts
412
Reaction score
156
jamani wenyewe uelewa wa course hizo hapo juu naomba anijuze tofauti zao ni nini? na pia niliskia kama ni kweli kama ukisoma bsc in education huwezi kutoka tena kwenye ualimu?

i.e huwez kufanya master nyengine tofauti na ualimu
 
In education maana yake hiyo ndio degree yako na zile core course zako lazima ziwe za education tu, With education maana yake unafanya Bsc pamoja na education, yaani unaweza kuwa na core courses nyingine kama kemia, au zoology pamoja na elimu. Ngoja niweke kwa lugha nyepesi mwanafunzi wa Bsc in Education yeye atakuwa hawezi ku major course nyingine nje ya education ila mwanafunzi wa Bsc with education anaweza ku major course nyingine ila ni lazima awe na units za education.
 
In education maana yake hiyo ndio degree yako na zile core course zako lazima ziwe za education tu, With education maana yake unafanya Bsc pamoja na education, yaani unaweza kuwa na core courses nyingine kama kemia, au zoology pamoja na elimu. Ngoja niweke kwa lugha nyepesi mwanafunzi wa Bsc in Education yeye atakuwa hawezi ku major course nyingine nje ya education ila mwanafunzi wa Bsc with education anaweza ku major course nyingine ila ni lazima awe na units za education.

Ipi ni nzuri zaidi hapo Mkuu?
 
Mi nachojua in education unasoma masomo mawili ya kufundishia like biology na chemistry or physics with education unasoma somo moja la kufundishia na masomo ya education kama psychology
 
Mi nachojua in education unasoma masomo mawili ya kufundishia like biology na chemistry or physics with education unasoma somo moja la kufundishia na masomo ya education kama psychology

WITH ni unakuwa na masomo mawili IN unakuwa na somo moja tu
 
Ipi ni nzuri zaidi hapo Mkuu?

Inategemea na malengo yako, with education unaweza kufanya kitu kingine zaidi ya kufundisha na in education utakuwa ni mwalimu tu kitaaluma.
 
Inategemea na malengo yako, with education unaweza kufanya kitu kingine zaidi ya kufundisha na in education utakuwa ni mwalimu tu kitaaluma.

Huwezi kufanya master ya kitu chengine ukisoma in education?na naskia in education unafundisha katika vyuo vya ualimu ni kweli?
 
Huwezi kufanya master ya kitu chengine ukisoma in education?na naskia in education unafundisha katika vyuo vya ualimu ni kweli?

Mkuu sina utaalamu ni hilo, tusibiri wajuvi waje hapa.
 
Huwezi kufanya master ya kitu chengine ukisoma in education?na naskia in education unafundisha katika vyuo vya ualimu ni kweli?

Ilitakiwa iwe hivyo lakini, vyuo vya ualimu ni vichache na vina walimu wa kutosha. Masters unasoma as long as unakidhi vigezo wengine Wana bachelor za BaEd na BED lakini wanasoma hadi MPA na MHR
 
jamani wenyewe uelewa wa course hizo hapo juu naomba anijuze tofauti zao ni nini?na pia niliskia kama ni kweli kama ukisoma bsc in education huwezi kutoka tena kwenye ualimu? i.e huwez kufanya master nyengine tofauti na ualimu
Tofauti yake ni hii
IN EDUCATION, somo moja na course za education nyingi zaidi ila unaweza kusoma masters ya somo llako au masters ya education kama umefaulu vizuri
WITH EDUCATION, unakuwa na masomo mawili na course chache za education. Pia unaweza kusoma masters ya masomo yako mawili au masters ya education. Mm nimesoma BSc with Education.
 
In education maana yake hiyo ndio degree yako na zile core course zako lazima ziwe za education tu, With education maana yake unafanya Bsc pamoja na education, yaani unaweza kuwa na core courses nyingine kama kemia, au zoology pamoja na elimu. Ngoja niweke kwa lugha nyepesi mwanafunzi wa Bsc in Education yeye atakuwa hawezi ku major course nyingine nje ya education ila mwanafunzi wa Bsc with education anaweza ku major course nyingine ila ni lazima awe na units za education.

Umeongea vyema sana..Mimi nipo SUA na nasoma BSc with Education..nasoma core courses za Education mbili tu kila semester..core zngne ni za Mathematics na Informatics...na nasoma course zaid ya 8 per semester..
 
Mi nachojua in education unasoma masomo mawili ya kufundishia like biology na chemistry or physics with education unasoma somo moja la kufundishia na masomo ya education kama psychology

Hapana, unachokisema hapa ni 'with education'.
 
Hivi prospectuses za vyuo si ziko online, na ni suala la kuangalia course contents na kutafuta tofauti. Wote si tumefanya mitihani yenye maswali ya 'compare and contrast', iweje anayetaka kuingia chuo kikuu ashindwe aka kazoezi kadogo mpaka akaaulize watu.
 
Hivi prospectuses za vyuo si ziko online, na ni suala la kuangalia course contents na kutafuta tofauti. Wote si tumefanya mitihani yenye maswali ya 'compare and contrast', iweje anayetaka kuingia chuo kikuu ashindwe aka kazoezi kadogo mpaka akaaulize watu.
Kama zipo online naomba prospectus ya udom,duce na muce,usione wanaouliza machizi..vyuo kibao havipublish prospectus online
 
Kama zipo online naomba prospectus ya udom,duce na muce,usione wanaouliza machizi..vyuo kibao havipublish prospectus online

Lugha yako sijaipenda sana ila takusaidia kupata za muce na duce - tembelea website hii https://udsm.ac.tz halafu navigate mwenyewe mpaka uzipate hakuna kutafuniwa kila kitu, ukizoea sana kutafuniwa na kutokuwa na juhudi ya kutafuna mambo mwenyewe hata ukiajiriwa inakuwa kero kwa line manager.

Halafu unaposema jambo uwe unatoa sababu na ushahidi la sivyo university studies zitakuwa ngumu sana kwako.

Ya UDOM to follow soon.
 
Lugha yako sijaipenda sana ila takusaidia kupata za muce na duce - tembelea website hii https://udsm.ac.tz halafu navigate mwenyewe mpaka uzipate hakuna kutafuniwa kila kitu, ukizoea sana kutafuniwa na kutokuwa na juhudi ya kutafuna mambo mwenyewe hata ukiajiriwa inakuwa kero kwa line manager.

Halafu unaposema jambo uwe unatoa sababu na ushahidi la sivyo university studies zitakuwa ngumu sana kwako.

Ya UDOM to follow soon.

ukiituma ya UDOM hapa bas nakupa mwekundu wa kuunga MB
 
Back
Top Bottom