Tofauti kati ya Bsc with Education na Bsc in Education

Mkuu sina utaalamu ni hilo, tusibiri wajuvi waje hapa.
kozi nyingine unaweza kusomea ukimaliza in education, kozi zenyewe ni kama udereva, urubani, uhandisi, uanasheria,utabibu nk, ila kuna kozi nyingine watakubana uanzie Postgraduate Diploma then mwendo mdundo, Kozi unayoweza kusoma masters moja kwa moja ni MBA, MPA, Msc Mathematics nk nk nk.
 
Hakuna kitu asikutishe mtu hata kidogo.
Nimesoma BEd in Science ya SAUT, niligraduate 2012, nasoma MBA LM saiv hapa town, nina jamaa zangu tulisoma darasa moja kabisa. Mmoja kamaliza MSc in Environmental science and engineering ya Nelson Mandela, Mwingine kamaliza MSc in Medical Parasitoloty and Entomology y KCMC ni Ass. Lecturer pale KCMCollege, Mwingine kamaliza MBA UDOM ni Business Consultancy Hapo DSM kampuni kubwa tuu anaendesha masemina kibaaao kila kona ya nchi.
HAKUNA SPECIFIC FORMULAR.
 

nimekupata kaka..maana wengine walikua wameshaanza upotoshaji..kumbe kuna uwanja mpana tu
 
Naipenda Bachelor y Education kwasbabu moja tuuu inakupa uhakika wa Pesa kidogo wakati unatafuta Masters ya Pesa nyingi
Soma - Hutajutia - Trust Me -
 
Huwezi kufanya master ya kitu chengine ukisoma in education?na naskia in education unafundisha katika vyuo vya ualimu ni kweli?

Kusomea Master of science in education haikunyimi hata siku moja kusomea Masters in other fields...infact criteria za kujoin Masters kutegemea na chuo husika vitakujuza mengi,ila kuna courses nyingi unaweza kwenda kuzisoma tu.
 
Naipenda Bachelor y Education kwasbabu moja tuuu inakupa uhakika wa Pesa kidogo wakati unatafuta Masters ya Pesa nyingi
Soma - Hutajutia - Trust Me -

nataka nifanye master ya education mathematics ili master nije nifanye statistics,au bora bsc in science ndio best?kwa maoni yako
 
Mh flyn rider unanichanganya Sasa. Usome masters Mara ngapi? Ya maths na ya statistics!! Kwani kwa Sasa uko chuo au unatarjia kujiunga sooon?
 
Last edited by a moderator:
Naipenda Bachelor y Education kwasbabu moja tuuu inakupa uhakika wa Pesa kidogo wakati unatafuta Masters ya Pesa nyingi
Soma - Hutajutia - Trust Me -
nataka nipige hio kaka,ila ndio watu walishaanza kunichanganya,maana kwa hela ya kusoma master nitapata tuu mungu akipenda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…