Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,156
- 13,258
mara nyingi nimeshuhudia wauzaji wa karanga wakipitisha mbili na za kukaanga na wengine mbichi na za kuchemsha na watu wengi hukimbilia za kukaanga/kuchemsha
Nini umuhimu wa kila moja kwa virutubisho au kwa maneno mengine ipi ni bora kati ya hizo?
Nini umuhimu wa kila moja kwa virutubisho au kwa maneno mengine ipi ni bora kati ya hizo?