Tofauti kati ya Kazi na Ajira

Tofauti kati ya Kazi na Ajira

Tofauti ni hivi:

kazi ni neno la kawaida linalotumia mara nyingi. Mara nyingi ni kazi ya kibarua. Hilo neno lina asili ya bantu. Kwa kiingereza ni "work"

ajira huwa ni neno kumaanisha kazi ya kudumu au kazi ilio na mshahara. Hilo neno lina asili ya kiarabu. Kwa kiingereza ni "employment. Neno lingine ya kuhusika ni "kuajiri", ambalo inamaanisha kumtumia mtu afanye kazi kwa muda.
 
Eti sijui kwanini mie nimeona unahitaj msaada wa kujua kuandika zaidi kuliko huo wa kujua tofauti ya hayo maneno
 
Tofauti ni hivi:

kazi ni neno la kawaida linalotumia mara nyingi. Mara nyingi ni kazi ya kibarua. Hilo neno lina asili ya bantu. Kwa kiingereza ni "work"

ajira huwa ni neno kumaanisha kazi ya kudumu au kazi ilio na mshahara. Hilo neno lina asili ya kiarabu. Kwa kiingereza ni "employment. Neno lingine ya kuhusika ni "kuajiri", ambalo inamaanisha kumtumia mtu afanye kazi kwa muda.

ahsante asee.....nmeelewa kbxaa
 
yani huwa nashindwa kuwaelewa nyie mnaotumia herufi 'x' katika tungo za kiswahili.Tafadhali acha kwa manufaa yako.

sawa asee....kweli ni uharibifu wa lugha sema ndo yashakua mazoea
 
Kwanza tuanze na Ajira. Hili ndo hutuletea neno Ajiriwa. Maana yake unafanya kazi isiyo yako, ni ya mtu mwingine na ww unayeifanya unalipwa ujira yaani mshahara (Shika hayo maneno ma3 = Ajira, Ajiriwa & Ujira). Na neno kazi ndo kama hilo hapo juu isipokuwa sasa linakuwa mara mbili, unaweza ukafanya kazi na ukalipwa, inaitwa kazi, unaweza kufanya kazi na usilipwe nayo pia ni kazi. mf. unapolima shamba lako sio ajira na hulipwi ujira lakini unapolima shamba la mtu mwingine kwa kutegemea ujira (Mshahara), hiyo ni ajira. Kwaheri..
 
Back
Top Bottom