Kusikia (hearing) ni ile hali ya ukamilifu wa masikio kupokea mawimbi ya sauti kwa sababu mtu sio kiziwi.
Kusikia huja bila jitihada yeyote kwa sababu tu mtu yupo mahali penye mawimbi fulani ya sauti.
Kusikiliza (Listening) ni taaluma ya lugha ambapo mtu hutumia kanuni mbalimbali kutega sikio ili kupata kusikia na kutafsiri mawimbi fulani ya sauti yanayofika kwenye masikio na kupata maana mahsusi.
unaweza kusikia usisikilize..uwezi kusikiliza bila kusikia nikiwa namaanisha kusikia ni kitendo cha sikio la nnje kukusanya sauti nyingi lakini huishia apo apo kwenye sikio la nnje..mf.ukiwa sokoni kuna sauti nyingi sana unaziskia lkn uzielewi kwa kuwa ujazitilia maanan
kusikiliza ni kitendo cha kusikia sauti kwa kutumia sikio la nnje na kuziruhusu kwenda kwenye ubongo ili kutafsiriwa..mf.ukiwa sokoni unaskia sauti nyingi ila unaweza komaa na moja hivyo kuwezesha kutafsiriwa vyema