kufanya ngono ni watu wanapokutana kwa ajili ya lile tendo la kubanjuana tu,yani akili zao na mood zao zimekaa kwa ajili ya kuDo...
Kufanya mapenzi inamchanganyiko wa vitu vingi sana mkuu,ni zaidi ya tendo...kuna kucheza,kupika,kutembea,kupiga stori,kuchekeshana,kuimbiana na mengi tu yakiambatana iyo ngono......ndio maana watu wanaweza kukutwa Lodge na bado wakawa wanafanya mapenzi inategemea walianzaje mpaka kufika hapo na muendelezo utaofatia....
Kwa mfano mie leo nimejiandaa kufanya mapenzi na wifi yenu,hapa sasa yupo njiani anakuja home nimeshamuandalia brekifast akifika namlisha alafu tunaDuu...baada ya hapo atakuwa anapika cha mchana uku nikimpiga tafu kimtindo then tukishakula tutacheza game maana ye yukodown na Ps,tutaDuu,tutapumzika mpaka jioni,jioni nitamtoa tukale msosi somewhere,baada ya hapo tutaenda Mlimani kwenye utoaji tunzo za Kili coz mie ni mgonjwa wamuziki na nna maniga wangu wapo kwenye kinyang'anyiro so inabidi nikawasapoti,baada ya tukio kama atutaenda afterparty basi tutarudi home kulala...kesho mchana namludisha kwake akajiandae na kazini juma3.
Sasa hapo nafikiri unaona tofauti ya enjoyment nayopata kati yangu na wewe unaeita demu kwako alafu anafikia kitandani mnapigana mikasi kutwa nzima,ukitoka basi umefata kiepe ukirudi ni mikasi mpaka asubuhi...Nafikiri umenisoma mkuu.