Castle_Lite
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 806
- 1,537
Sio anataka mkuu,hizo mali nilizozitaja hapo tayari anazo.Kufika bil.10 kwny a/c ndio bado anapambania.Mfanyabiashara, mjasiriamali na mfanyakazi...
Huyo Mchaga kuuza Duka tu ndio anataka awe na Mali zoote hizo?. Kwa kuuza Bidhaa wanazotengeneza watu wengine?.
Na Masharti yote hayo?. Watu weng hawawezi na tutashindwa.
Na wewe unaamini ana 10B na mi Godown kwaduka la rejareja kweli wajinga hamuishi Duniani, watu kama ninyi mutaendelea kuwa mitaji kwa watu.Sio anataka mkuu,hizo mali nilizozitaja hapo tayari anazo.Kufika bil.10 kwny a/c ndio bado anapambania.
Hizo godowns nilizokwambia hapo ziko zimejaza michele,karanga,maharage inshort nafaka mbalimbali+bidhaa za viwandani.
Trading business usiichukulie poa mzee baba,kuna watu wanapiga mipunga hatari na hawana hata kiwanda kidogo cha kutengeneza kizibo cha kalamu.
Masharti hayo ni magumu sana kulingana na malengo ya mtu especially kwa sisi wasomi lkn kwa manyamera wao ni pesa tu.
Hahah Mkuu unajua maana ya to Delay Gratifications?Huu ndo ushirikina sasa...Unakua na hela alafu hazikusaidii,unaishia kuwa mtumwa wa hela maisha yako yote.
Umenikumbusha kitu fulani. Kuna wakati fulani nililima zao jipya sana hapa Tanzania, nilipoandika humu kuwa soko limekuwa la shida, mtaalamu mmoja humu JF aliniandikia kuwa nijilaumu mwenyewe kwani nilipaswa kujua soko kabla ya kuanza kuzalisha.Tuko pa1 kaka. Sasa ngoja wasomi waje na biashara zao za kwenye "kaunta buku" unaweza hisi wana viwanda kumbe ndo kwanza ana plan
Kwahiyo mkuu,unaona alieshauri kuwa ungetafiti soko kabla hujaingia shamba unaona alikosea?umenikumbusha kitu fulani. Kuna wakati fulani nililima zao jipya sana hapa Tanzania, nilipoandika humu kuwa soko limekuwa la shida, mtaalamu mmoja humu JF aliniandikia kuwa nijilaumu mwenyewe kwani nilipaswa kujua soko kabla ya kuanza kuzalisha. Maana yake nilipaswa kuanza kuuza zao ambayo hata sijajua linazalishwa vipi na kama nitafanikiwa kuvuna! Ndiyo hayo ya biashara kwenye counterbook!
Hahah ukweli mtupu mkuu.maendeleo hayan elimu[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Mkuu kuna kitu kinaitwa UHURU ukiwa mfanya biashara/ umejiajiri unakuwa na uhuru wa kusimamia mawazo yako na kile unachokiamini
Pia hata faida yote utakayoipata ni yako ila kazini mnaweza ingiza faida ya bili 1 mfano wewe ukaambulia laki 7.......
Nimeacha kazi toka jana hahahaha nimejiajiri tayari
Mkuu kuliko kupewa pesa ambayo muda mwingi unakuwa kama alizeti unachujwa wese lote kwa mafanikio ya mwingine, hapo hata ukiumwa hauwezi kaa home, maana wanahisi umeanza choka kazi hahaha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kweli kabsa mkuu hapo umenena Jambo, pesa makaratasi hasara roho. Ukipata tumia acha kujibanabana na maisha yenyewe ndio haya.Huu ndo ushirikina sasa...Unakua na hela alafu hazikusaidii,unaishia kuwa mtumwa wa hela maisha yako yote.
Uhalisia wa maisha haupo hivyo. Ingekuwa hivyo tungekuwa tunaenda kwanza mbinguni kuangalia pepo afu ndo tuje kufanya IBADA. Au tungekuwa tunawachukua watoto tunawapeleka ofsin kutafta kazi then ndo tunawaandikisha chekechea. .Kwahiyo mkuu,unaona alieshauri kuwa ungetafiti soko kabla hujaingia shamba unaona alikosea?
Upi sahihi naonaga sana hii kutafiti soko IPO kila mtu anafanya ila wengine wanakwambia utafute wateja kabla ya kuzalisha How Come.Uhalisia wa maisha haupo hivyo. Ingekuwa hivyo tungekuwa tunaenda kwanza mbinguni kuangalia pepo afu ndo tuje kufanya IBADA. Au tungekuwa tunawachukua watoto tunawapeleka ofsin kutafta kazi then ndo tunawaandikisha chekechea. . Ukweli ni kwamba Mafanikio ni matokeo ya Maandalizi kukutana na Fursa. Yani jiandae kwanza then ikitokea fursa ktk nyanja ulojiandaa nayo ndo tubo hilo. Sasa we jaza counter books hata kumi za mipango na malengo afu usubir kama hiyo fursa itakufata kwenye madaftari
Kwamba inawezekana leo mtu na mtaji wake achukue tu nguruwe na kuwapeleka uarabuni akauze maana fursa ya soko ataikuta tu hukohuko?Uhalisia wa maisha haupo hivyo. Ingekuwa hivyo tungekuwa tunaenda kwanza mbinguni kuangalia pepo afu ndo tuje kufanya IBADA. Au tungekuwa tunawachukua watoto tunawapeleka ofsin kutafta kazi then ndo tunawaandikisha chekechea. .
Ukweli ni kwamba Mafanikio ni matokeo ya Maandalizi kukutana na Fursa. Yani jiandae kwanza then ikitokea fursa ktk nyanja ulojiandaa nayo ndo tubo hilo.
Sasa we jaza counter books hata kumi za mipango na malengo afu usubir kama hiyo fursa itakufata kwenye madaftari
Unahisi wanaopata asara hawafanyi utafiti wa soko au ??Kwamba inawezekana leo mtu na mtaji wake achukue tu nguruwe na kuwapeleka uarabuni akauze maana fursa ya soko ataikuta tu hukohuko?
Hapana, mimi nadhani kujua kuhusu soko la bidhaa husika kwa sehemu husika kabla hujaanza inakupa mwanga kidogo kuliko kubutua tu. Matokeo yake unajikuta unatoa miwa Ifakara na kwenda kuiuza Kilombero, mwisho wake ni kwenda kulilia bafuni ili watu wasikuone.
Rejea project ya jamaa yako @kamakuzi alielima zao ambalo hajui soko lake likoje halafu muulize alipata faida au hasara.Unahisi wanaopata asara hawafanyi utafiti wa soko au ??