Mwana linamaana ya mtoto, haijalishi kama ni wa kiume au wa kike.
Kamusi la Kiswahili linaainisha hivyo.
Kimsingi mwana linahistoria ndefu ya kutumika kwenye majina ya watoto wa kike kama Mwanaasha, Mwanamtama,Mwanakheri,Mwanaidi, Mwantatu, na kadhalika na kadhalika