Kristonsia Nkya
JF-Expert Member
- Jun 24, 2013
- 302
- 292
UTOFAUTI KATI YA MWANAMKE NA MWANAUME:
1. Kwenye mshituko;
Mwanaume hushituka halafu huangalia nini kimemshitua, mwanamke hushituka halafu huzimia hivyo ataambiwa na mwanaume kilichomshitua[emoji23] [emoji23]
2. Kwenye kupenda;
Mwanaume huanza kutamani alafu hupenda, mwanamke huanza kupenda moja kwa moja bila kumjua vizuri huyo ampendae[emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23]
3.Kwenye kusaidia;
Mwanaume hutoa msaada alafu uhuzunika, mwanamke huuzunika badae ndo anakumbuka km msaada unahitajika [emoji23] [emoji23]
4.Kwenye maamuzi;
Mwanaume hufikiri ndipo hutenda, mwanamke hutenda halafu hufikiri [emoji23]
[emoji23] [emoji23]
5.Kwenye kudanganya;
Mwanaume hudanganya ili kumlinda mwanamke, mwanamke hudanganya ili kumkomoa mwanaume [emoji23] [emoji23] [emoji23]
6.Kwenye ugomvi;
Wanaume hupigana halafu hueshimiana, wanawake hupiga mikelele alafu kila mmoja hurud kwake, kesho tena [emoji23] [emoji23] [emoji23]
7.Kwenye ndoa;
Mwanaume hutafuta maixha ndipo huoa, mwanamke huolewa ndipo atafute maisha[emoji23] [emoji23] [emoji23]
8.Kwenye kukata tamaa;
Mwanaume hukata tamaa mapema ili jambo lisimsumbue, mwanamke hajui kukata tamaa hadi aumizwe
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
9.Kwenye kula;
Mwanaume hushiba alafu huanza madoido, mwanamke huanza na madoido alafu badae hujilaumu hakushiba [emoji15][emoji15][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]
10.Kwenye siri;
Mwanaume hutunza siri hasa za aibu, mwanamke humueleza shoga yake badae hugombana nae baada ya kumrudia mwenyewe kwa siku 2 tu[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hizi ni baadhi tu ya sifa tofauti kati ya mwanaume na mwanamke, ila zipo nyingi...
1. Kwenye mshituko;
Mwanaume hushituka halafu huangalia nini kimemshitua, mwanamke hushituka halafu huzimia hivyo ataambiwa na mwanaume kilichomshitua[emoji23] [emoji23]
2. Kwenye kupenda;
Mwanaume huanza kutamani alafu hupenda, mwanamke huanza kupenda moja kwa moja bila kumjua vizuri huyo ampendae[emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23]
3.Kwenye kusaidia;
Mwanaume hutoa msaada alafu uhuzunika, mwanamke huuzunika badae ndo anakumbuka km msaada unahitajika [emoji23] [emoji23]
4.Kwenye maamuzi;
Mwanaume hufikiri ndipo hutenda, mwanamke hutenda halafu hufikiri [emoji23]
[emoji23] [emoji23]
5.Kwenye kudanganya;
Mwanaume hudanganya ili kumlinda mwanamke, mwanamke hudanganya ili kumkomoa mwanaume [emoji23] [emoji23] [emoji23]
6.Kwenye ugomvi;
Wanaume hupigana halafu hueshimiana, wanawake hupiga mikelele alafu kila mmoja hurud kwake, kesho tena [emoji23] [emoji23] [emoji23]
7.Kwenye ndoa;
Mwanaume hutafuta maixha ndipo huoa, mwanamke huolewa ndipo atafute maisha[emoji23] [emoji23] [emoji23]
8.Kwenye kukata tamaa;
Mwanaume hukata tamaa mapema ili jambo lisimsumbue, mwanamke hajui kukata tamaa hadi aumizwe
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
9.Kwenye kula;
Mwanaume hushiba alafu huanza madoido, mwanamke huanza na madoido alafu badae hujilaumu hakushiba [emoji15][emoji15][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]
10.Kwenye siri;
Mwanaume hutunza siri hasa za aibu, mwanamke humueleza shoga yake badae hugombana nae baada ya kumrudia mwenyewe kwa siku 2 tu[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hizi ni baadhi tu ya sifa tofauti kati ya mwanaume na mwanamke, ila zipo nyingi...