Dozencut
Senior Member
- Apr 13, 2015
- 159
- 38
Yupi anatakiwa kusoma ordinary diploma, na nani anatakiwa kusoma advanced diploma,
NACTE wanasema kwa waliomaliza form 4 wakapata C ya biology na C ya chemistry watasoma diploma lakini wenye Ds watasoma certificate, wote ni miaka mitatu, ukiendelea zaidi unakutana na categories za diploma yaani ordinary na advanced. Nielewesheni wakuu
NACTE wanasema kwa waliomaliza form 4 wakapata C ya biology na C ya chemistry watasoma diploma lakini wenye Ds watasoma certificate, wote ni miaka mitatu, ukiendelea zaidi unakutana na categories za diploma yaani ordinary na advanced. Nielewesheni wakuu