wanaoanza ordinary diploma ni wale waliomalza form four na kupata 'c'za chemistry na biology na 'D' ya physics na muda ni miaka mitatu. Na certfcate n miaka miwil na vigezo ni 'D' za PCB. Ikiwa umemalza ordinary dipl. na kufaulu vzur bac utaendelea na degree ila kama hukufaulu vzur na unataka kuendelea na degree bac ni lazma ukaanze advanced diploma ambayo nayo n miaka mitatu.
Yupi anatakiwa kusoma ordinary diploma, na nani anatakiwa kusoma advanced diploma,
NACTE wanasema kwa waliomaliza form 4 wakapata C ya biology na C ya chemistry watasoma diploma lakini wenye Ds watasoma certificate, wote ni miaka mitatu, ukiendelea zaidi unakutana na categories za diploma yaani ordinary na advanced. Nielewesheni wakuu