F Ferds JF-Expert Member Joined Oct 27, 2010 Posts 1,263 Reaction score 192 Aug 19, 2014 #1 Wanaintelligensia, leo nakuja kifalsafa, hebu tuchemshe akili katika kuambiana maana na matumizi ya maneno hayo hapo juu, ukweli ni upi na uhalisia ni upi. Asanteni.
Wanaintelligensia, leo nakuja kifalsafa, hebu tuchemshe akili katika kuambiana maana na matumizi ya maneno hayo hapo juu, ukweli ni upi na uhalisia ni upi. Asanteni.
A armi Senior Member Joined Aug 11, 2014 Posts 140 Reaction score 26 Aug 20, 2014 #2 Daaaah wakazi wa jf hii maada ni shida kidogo kuichambua, ngoja niwasubili wazawa halisia na waukweli tuchambue pamoja .made in mby city.
Daaaah wakazi wa jf hii maada ni shida kidogo kuichambua, ngoja niwasubili wazawa halisia na waukweli tuchambue pamoja .made in mby city.