[emoji23][emoji23][emoji23]Sisi hatujaona hiyo dress unakuja tena kutuuliza...
Viatu vya kuchoma ardhi hahaa! Ungeweka Picha ingependeza zaidi!!alikuwa amevaa gauni ndefu na viatu vya kuchoma ardhi ikabidi nibadili uwelekeo sikuwa na namna
Uzi wakonBila picha tunashindwa kuelewa kiukweli!Mkuu Kuna nguo za kuvaa kutokana na mazingira na matukio maalumu ujanielewa wap kakaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu komaa na chuo, semister sio ndefu usije uka disco
Si kila mtu ana uzoefu wa mazingira ambayo wewe una uzoefu nayo. Huenda club sio mazingira yake. Huenda yeye zaidi hupendelea kwenda kanisani. Hana hayo mavazi ya club. Kama unampenda, badala ya kumbadika hapa ili hii hadhara imjadili, mbadilishe ili arandane na 'ujanja' wako.Nimekaa nimefikilia kunavitu huwa nachanganya kati ya USHAMBA na ULIMBUKENI naombeni wakuu mnipe maana hizo kwa mifano, nasema Ivo kwa sababu kuna manzi mmoja tulikuwa na appointment tutoke twende club lakini dress alizo vaa duu Kama anaenda kitchen part nikajiuliza sasa huu ni USHAMBA au ni nini aisee nilichoka
karibuni