Wetu wanaitwa wacha-mbuziWakuu hii imekaaje, kwenye vyombo vya habari vya nje hasa televisheni, wachambuzi wa soka ni wachezaji waliocheza kwa mafanikio kipindi cha nyuma...
Aisee ukweli mtupu.Wachambuzi wengi wa Bongo ni wa kuunga unga, akishakuwa na app ya livescore na kujua misamiati kama High pressing, dribbling, tackling, double pivot, low block, zonal marking etc basi wewe tayari unajua mpira