Hana wa kufanana nae tz lkn km ni lzm bora mumfananishe na mr nice.
Kazi anayo,tatzo NGOMA la MIDA YA WANGA LINAZID KUPASUA ANGAAhahaaaah....
Leo kazi unayo..!
Nafikiri ni Uzi wa kumi huu unahangaika na Diamond..!
Hatari sana..!!!
Tena umuogope kabisa, domo mamba lile akikung'ata hakuna hospital watatibu hahahaaa