Hapo nimekupata vyemaUpo Sahihi kabisa
Lakini hoja inabaki palepale Mjinga hawezi kuigiza NI Mwerevu
Kûna àmbao walijaribu wakaumbuka
Mfano wanasiasa mara kadhaa wamekuwa wakijaribu kuwa werevu hata kwèñye mambo ya dini ndîo unasikia madesa yakivurugwa. Rejea ishu ya Spika ndugai na hadithi yake kumhusu Yesu
Hapo nimekupata vyema
Kwamba mwerevu wa taaluma Fulani kutaka kuvamia na kujifanya kujua taaluma nyingine
Hapo sawa
Ila kwenye maisha ni vyema kujitahidi kujua vitu vingi kidogo mfano mambo ya uchumi, sheria, siasa, michezo, technology, dini n.k hata kama sio Kwa kiwango kikubwa japo uwe na ABC
Naheshimu mawazo yako mkuuUkijua mambo mengi inakuweka kwèñye Nafasi nzuri ya kuitwa Mwerevu na mwenye karama.
Mjinga NI mtu yeyote tuu Kam alivyomwerevu.
in short, watu wengi humu wanaigiza kuwa na akili wakati hawana, pia wapo wasanii na watoto wengi wa mjini wanaigiza utajiri wakati wanakaa uswahilini na kula kwa mama-ntilieLakini kuigiza Maskini hawezi kuigiza utajiri Kwa sababu hajawahi kuwa tajiri ila Maskini anaweza Kwa sababu umaskini NI Jambo rahisi àmbalo Mwanadamu yeyote anaweza kulipata íwe Kwa kusudi au Bahati mbaya (Mikosi)
Halikadhalika na Mjinga Vs mwerevu
Knock out mkuuKipimo cha utajiri na umasikini ni kipo?
Haya ni mambo ya kifikirika tu
Werevu ni kuelewa Nini? Utaelewa kila kitu?
Hakuna mjinga wa kila kitu
Kikubwa kuheshimiana tu
in short, watu wengi humu wanaigiza kuwa na akili wakati hawana, pia wapo wasanii na watoto wengi wa mjini wanaigiza utajiri wakati wanakaa uswahilini na kula kwa mama-ntilie
We kijana bado hujajua kitu kinaitwA (MAJALO)siku ukikijua utarudi jf kufuta huu uzi.Kwema Wakuu!
Tofauti kubwa ya mwerevu na mjinga ni kuwa Mwerevu anaweza kujifanya, kuigiza kuwa ni Mjinga ila Mjinga hawezi kujifanya wala kuigiza kuwa ni mwerevu
Vile vile Tajiri huweza kujifanya au kuigiza ni Maskini lakini Kamwe Maskini hana uwezo wa kujifanya wala kuigiza yeye ni Tajiri.
Naweka Maiki chini
That definition is not finalMaskini kiuchumi NI mtu àmbaye anakosa basic needs Kama chàkula, mavazi, na sehemu ya Kulala.