Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Ally Kiba akihojiwa na Amplifire ya Mirlad Ayo ameulizwa maoni yake ni wasanii gani walimvutia kwenye show ya Fiesta amewataja wanamuziki kadhaa pamoja na Diamond.
My take: hapa ndio tofauti ya mtu mwenye akili na huyu mswahili wa Tandale unapoona ni watu wawili tofauti kabisa. Kiba ameonesha gape kubwa ya uelewa kati yake na domo.
Anayetaka kusikia mwenyewe mahojiano ya Kiba na Ayo aingie kwenye web ya Ayo.
Cc: Dinazarde warumi matumbo NasDaz geniveros nifah michael western
My take: hapa ndio tofauti ya mtu mwenye akili na huyu mswahili wa Tandale unapoona ni watu wawili tofauti kabisa. Kiba ameonesha gape kubwa ya uelewa kati yake na domo.
Anayetaka kusikia mwenyewe mahojiano ya Kiba na Ayo aingie kwenye web ya Ayo.
Cc: Dinazarde warumi matumbo NasDaz geniveros nifah michael western
Last edited by a moderator: