Habari zenu jamanii. Mie kuna dem nlikuwa namfukuzia mda mrefu sana na ni mzuri sana tu. Nikabahatika kumpata ila nkagundua anatatizo katika mwili wake yani Mwanamke kapooza wabaridi hata nimkumbatie vip yan hana joto tofauti na wanawake wengine unakuta mtu wa moto kwel kwel kama jiko. Mara ya kwanza nilihisi labda anaogopa ivo nimejarib kufanya vivo katika vipind tofauti lakin yupo vilevile ili kwang ni tatizo kwan kwanza upunguza presha ya mchezo, mbili tu tunaanza agana. Pliz hapa nin tatizo?
Yan ni ngozi ndo baridi. Ila unaposema ndan cjajua wamananisha nin yan tumboni kwa ndanHuyo atakuwa anatoka kwenye kingdom Animalia, Phylum -Chordata katika Class ya Reptiles.........cold-blooded !! Hiyo baridi iko kwenye ngozi tu (mwili wa juu au mpaka 'ndani'? .............pengine ndo maumbile yake bwana
mbweta hebu........namaanisha 'ndani' kwani we ukiingia waingia tumboni???Yan ni ngozi ndo baridi. Ila unaposema ndan cjajua wamananisha nin yan tumboni kwa ndan
Yan ni ngozi ndo baridi. Ila unaposema ndan cjajua wamananisha nin yan tumboni kwa ndan
Habari zenu jamanii. Mie kuna dem nlikuwa namfukuzia mda mrefu sana na ni mzuri sana tu. Nikabahatika kumpata ila nkagundua anatatizo katika mwili wake yani Mwanamke kapooza wabaridi hata nimkumbatie vip yan hana joto tofauti na wanawake wengine unakuta mtu wa moto kwel kwel kama jiko. Mara ya kwanza nilihisi labda anaogopa ivo nimejarib kufanya vivo katika vipind tofauti lakin yupo vilevile ili kwang ni tatizo kwan kwanza upunguza presha ya mchezo, mbili tu tunaanza agana. Pliz hapa nin tatizo?
Huyo atakuwa anatoka kwenye kingdom Animalia, Phylum -Chordata katika Class ya Reptiles.........cold-blooded !! Hiyo baridi iko kwenye ngozi tu (mwili wa juu au mpaka 'ndani'? .............pengine ndo maumbile yake bwana
Labda ye yuko normal
Ila we ndio wa moto ..
Habari zenu jamanii. Mie kuna dem nlikuwa namfukuzia mda mrefu sana na ni mzuri sana tu. Nikabahatika kumpata ila nkagundua anatatizo katika mwili wake yani Mwanamke kapooza wabaridi hata nimkumbatie vip yan hana joto tofauti na wanawake wengine unakuta mtu wa moto kwel kwel kama jiko. Mara ya kwanza nilihisi labda anaogopa ivo nimejarib kufanya vivo katika vipind tofauti lakin yupo vilevile ili kwang ni tatizo kwan kwanza upunguza presha ya mchezo, mbili tu tunaanza agana. Pliz hapa nin tatizo?