ANDENDEKISYE C
Member
- Mar 5, 2012
- 90
- 23
Naomba msaada wa namna ya kusajili:
Ukweli ni kuwa nataka kusajili chombo ambacho kimsingi nikutoa huduma ya elimu, kama kampuni. Lakini wakati huo huo niweze kupatamisaada kama ambavyo NGO zinasaidiwa. Naomba msaada wa je naweza kusajili kamaNGO, au kampuni, na je nini mipaka yake.
Natanguliza shukrani
Ukweli ni kuwa nataka kusajili chombo ambacho kimsingi nikutoa huduma ya elimu, kama kampuni. Lakini wakati huo huo niweze kupatamisaada kama ambavyo NGO zinasaidiwa. Naomba msaada wa je naweza kusajili kamaNGO, au kampuni, na je nini mipaka yake.
Natanguliza shukrani