Tofauti na zama hizi watoto na hata watu wazima walikuwa wanavaa hirizi waziwazi bila kificho

Magical power

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2022
Posts
2,158
Reaction score
5,626
Tofauti na zama hizi, zamani watoto na hata watu wazima walikuwa wanavaa hirizi waziwazi bila kificho.

Tulipokuwa tunacheza mpira shuleni/mtaani ilikuwa ni kawaida mtu kukuomba umshikie hirizi yake kama wewe hauchezi siku hiyo, au ilikuwa kawaida mwalimu kutangaza hirizi ya fulani imepotea aliyeiona aisalimishe ofisini πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

 
Ni kweli kabisa mimi nilikuwa nazo mbili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…