Tofauti ya Bachelor of Engineering (BEng) na Bachelor of Science in Engineering (BSc Eng)

Fibonacci

JF-Expert Member
Joined
Mar 3, 2013
Posts
377
Reaction score
205
Habari,

Naombeni kufahamu tofofauti ya BEng na BSc Eng. na ipi bora kuliko nyingine.

Shukrani
 
Habari,

Naombeni kufahamu tofofauti ya BEng na BSc Eng. na ipi bora kuliko nyingine.

Shukrani

Bachelor of Engineering aka BENG is practical oriented program it means percent kubwa ya course yako inabase kwenye practical kuliko theory Kwa mtaala wa NACTE 40% ni Theory na 60% ni PRACTICALS na kwa hapa Tanzania unaweza ukaipata katika vyuo vifuatavyo DIT, Mbeya (MUST), ATC(Arusha Tech), St.Joseph But Bachelor of Science in Engineering ini vice versa ya BENG it means unasoma theory kuliko practical 40% PRACTICAL na 60% ni Theory for TZ eg is UDSM.
NB: Kila mmoja ana stand katika nafasi yhake hakuna kizuri zaid ya mwenzake japo soko ya Bongo inamfavour zaid BENG.
 
Sure wanaangalia unajua nini kiutendaji na sio unajua nini kinadharia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…