Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
maskini umebaki wewe tu Tanzania kwasabb ya ubabaifu na ujuaji wako eti unataka kuajiriwa kwenye kazi ya kuvaa tai na suti π€£Wamejifunza nini na umasikini wetu! Amani watu wanauliwa mchana kweupe ni amani kwa watu wa CCM huko upinzani kuna waliochinjwa na kupigwa risasi. Nenda Botwana au hata Kenya mtafute mpinzani aliyepigwa risasi au kuuliwa ! Tuache unafiki hakuna cha kujifunza hapa kwetu zaidi ya uchawa
wapinzani waache kutegemea ushirikiana, ramli chonganishi na kutoana kafara kwasabab ya uongozi wa ndani ya vyama vyao. waache huo utaratibu na wasisingizie wengine. Wafanye chaguzi zao za ndani kwa amani na kujali utu wa kila moja wao.
siasa za Kenya na kwingineko nadhani ni dhahiri hufuatilii, mfano mdogo tu mwezi ulopita MCA wa kenya wa county ya Wajir alichukuliwa na watu wasiojulikana hadharani mchana kweupe na kesho yake wakamkuta anaelea mtoni...
Lakini hapo Botswana hufahamu kwamba kiongozi wa chama kimoja cha upinzan aliuawa majuzi tu?
Hapo Uganda, Bob wine, Robert Gyagulanyi hakupigwa risasi ya mguu chini ya wiki 3 zilizopita?
Donald Trump hakupigwa risasi ya sikioni iliyomkosa kichwa?
Yaani mambo ya kawaida kwenye siasa yanayotokea kila pembe ya dunia unataka kuja hapa kudekadeka kana kwamba ni jambo jipya au geeni ili sijui upate huruma ya wananchi π€£
Tanzania itaendelea kuhakikisha umoja, amani na utulivu wa waTanzania unalindwa kwa nguvu na gharama zozote zile π