Tofauti ya Bsc. In education & Bsc. with education

NANGA WA DEPO

JF-Expert Member
Joined
Oct 8, 2014
Posts
917
Reaction score
1,201
WAKUU NAOMBA MNISAIDIE TOFAUTI YA HIZI DEGREE KOZI Bsc.IN education&Bsc. WITH education.
NA., JE, IPI NI BORA KAMA NATAKA KUWA MWALIMU?
 
in education unakuwa na somo moja la kufundishia na masomo ya ualimu mengi zaidi ya with education. lakin with education atakuwa na masomo mawili ya kufundishia na masomo ya ualimu machache.

in education unayo chansi ya kufundisha vyuo vya ualimu japo now days haipo tena kwani wanachukua toka secondary wale wenye uzoefu wa muda mrefu.

zote zipo poa sema with education ndo anauwanja mpana zaidi ktk soko
 
Bsc. in Education unashajibana kwenye elimu moja kwa moja ila BSc. with Education una wigo wa kufanya mambo mengine!
 
WAKUU NAOMBA MNISAIDIE TOFAUTI YA HIZI DEGREE KOZI Bsc.IN education&Bsc. WITH education.
NA., JE, IPI NI BORA KAMA NATAKA KUWA MWALIMU?

zote hizo unakuwa mwalimu tofauti ipo hapa; in education(wakufunzi) huwezi kuhama field yani huwezi kufanya masters ya kitu chengine zaidi ya education while with unaweza kufanya maters ya vitu vingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…