andimile mwambona
Member
- Feb 11, 2013
- 9
- 2
habari wana JF.
ni matumaini yangu wote tu wazima wa afya,ni jambo la kumshukuru mungu,,
naomba kuuliza tofauti iliyopo kati ya dalili za ugonjwa wa kifua kikuu na ugonjwa wa Ukimwi,,,yaani dalili za awali mara tu baada ya mgonjwa kuambulizwa ugonjwa
ni matumaini yangu wote tu wazima wa afya,ni jambo la kumshukuru mungu,,
naomba kuuliza tofauti iliyopo kati ya dalili za ugonjwa wa kifua kikuu na ugonjwa wa Ukimwi,,,yaani dalili za awali mara tu baada ya mgonjwa kuambulizwa ugonjwa