Tofauti ya HIV 1 Vs HIV 2 Positive.

Mwana Ilala

JF-Expert Member
Joined
Jan 29, 2013
Posts
1,287
Reaction score
486
Hallo wanajamii.
Ninaomba Mnyambulisho kati ya HIV 1 and HIV 2.

Kuna tofaut gani? Kati ya HizO hapo Juu. Je Ni aina Ipi ambayo huambata na Dalili za Mkanda Wa Jeshi!?

Asanteni.
 
Mi navoelewa mtu akiwa HIV 2 maana yake Ana maambukizi mapya, yani ameambukizwa virus Mara nyingine maana inasemekana virusi wa HIV nao wako wa aina tofauti tofauti. Mkanda wa jeshi ni dalili kwamba kinga ya mwili wa mtu imeshuka sana, nadhani haijalishi ni maambukizi HIV1 au HIV2. Ndo maana wanashauri watu watumie kinga hata kama wote tayari wameathiriwa na HIV ndo hiyo idea ya kuzuia maambukizi mapya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…