Tofauti ya INBOX YA SIMU YA MWANAMKE Na INBOX YA SIMU YA MWANAUME...........???????

zubedayo_mchuzi

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2011
Posts
4,873
Reaction score
1,217
Inbox ya Mwanamke ina meseji nyingi za namna hii...
I love u (Dany) ...........
Hi babe.....
(smjui)MPESA BKX556 CONFIRMED YOU HAVE RECEIVED SH.80,500 FROM MIKE JOHN
can I take u out tonight..........
Tigopesa Umepokea muda wa maongezi wa sh 5,000 toka kwa Alfred John.....
I miss u babe.......
(Mzushi) MPESA CONFIRMED....
Hi swity............
(Mike) MPESA CONFIRMED.....
Mwaah..........(Dia)

Inbox ya Mwanaume
Vodacom: YOU HAVE INSUFFICIENT FUNDS PLEASE TOP UP.
Tigo: Umekatwa sh 1200 kulipia deni lako ulilokopa Tigo.
(Mwenye Nyumba) Wewe punda lipa Kodi
Airtell Modem: Huna salio la kutosha. Kifurushi hiki cha Intanet ni Sh 15,000.Tafadhali ongeza salio na ujaribu kujiunga tena kwa kutuma neno Datawiki kwenda 15444...........
I missed my periods I think I'm pregnant...............
(Jane ) Turushie basi hata Elfu Tano...... (Baba).
Tigo: Umekatwa sh 120 kulipia deni lako ulilokopa Tigo..............
Tafadhali nipigie...........
(Caro) Tafadhali niongezee salio................
(Aisha ) FAILED: THERE IS NO ENOUGH MONEY IN YOUR MPESA ACCOUNT TO BUY SH.500 OF AIRTIME. YOUR BALANCE IS SH.40.
 
Hahahaa. . .
Wanaume mna kazi!! Ila wanawake wengine wana kama za wanaume, na wanaume wengine wana kama za wanawake.
 
Hahahaa. . .
Wanaume mna kazi!! Ila wanawake wengine wana kama za wanaume, na wanaume wengine wana kama za wanawake.
loh hao wanawake hawajielewi elewi itakuwa,
 
he he he hiyo ya i missed my period ni emergency sms....inatisha balaa kama hukupanga
 
Hahahaa. . .
Wanaume mna kazi!! Ila wanawake wengine wana kama za wanaume, na wanaume wengine wana kama za wanawake.
Hapa nakubaliana na wewe!! BTW, wanaume tupo wachache, lazima mtuhangaikie!!
 
Mimi hiyo maneno nilishasahau zamani...........!
 
Kazi ipo, punda afe lakini mzigo lazima ufike
 
......inaendelea:
INBOX ya Feisbuku:
-jana kwa nini ulinigandisha?(fidel)
-umkome bwanangu(mwali)
-hivi kuazima sidiria yangu ndo nin usirudishe(Ashadii)
-nshakwambia bishanga ana mwenyewe(Lizzy)
INBOX ya Rejao:
-baby jana ndo hujanifikisha kileleni?(feisbuku)
-kila siku unandanganya utakuja kwa wazazi(zubeda)
-zile condom ulikumbuka kuzitoa kwenye gari?(SL)
-yaani jana du,magoti yamelegea (Husn)
-hama mjini,kova anakutafuta kwa wizi wa kuku(kibonde)
-ole wako nikukute na Lizzy(bishanga)
..........itaendelea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…