johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Ni ukweli ulio wazi kabisa kwamba Tundu Lisu na Shujaa Magufuli wanafanana katika mambo mengi ikiwemo Ujasiri, Kujiamini, Ubabe, Upendo na One Man Show
Tofauti yao ya Msingi ni Moja tu Kwamba Lisu anapendelea mambo ya kusaidiwa saidiwa hata kwenye kupeleka gari binafsi Gereji lakini Shujaa Magufuli alipenda kujitegemea kwa kila kitu hata Bombardier zilipakwa rangi hapa hapa Nchini
Ili apate kura za kuridhisha 2025 Tundu Lisu aachane na mambo ya kupitisha bakuli
Samahani kwa wale mliokwazika 🐼
Ahsanteni Sana 😂
Tofauti yao ya Msingi ni Moja tu Kwamba Lisu anapendelea mambo ya kusaidiwa saidiwa hata kwenye kupeleka gari binafsi Gereji lakini Shujaa Magufuli alipenda kujitegemea kwa kila kitu hata Bombardier zilipakwa rangi hapa hapa Nchini
Ili apate kura za kuridhisha 2025 Tundu Lisu aachane na mambo ya kupitisha bakuli
Samahani kwa wale mliokwazika 🐼
Ahsanteni Sana 😂