johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Magufuli alikuwa mpigaji Lissu siyo mpigajiNi ukweli ulio wazi kabisa kwamba Tundu Lisu na Shujaa Magufuli wanafanana katika mambo mengi ikiwemo Ujasiri, Kujiamini, Ubabe, Upendo na One Man Show
Tofauti yao ya Msingi ni Moja tu Kwamba Lisu anapendelea mambo ya kusaidiwa saidiwa hata kwenye kupeleka gari binafsi Gereji lakini Shujaa Magufuli alipenda kujitegemea kwa kila kitu hata Bombardier zilipakwa rangi hapa hapa Nchini
Ili apate kura za kuridhisha 2025 Tundu Lisu aachane na mambo ya kupitisha bakuli
Samahani kwa wale mliokwazika πΌ
Ahsanteni Sana π
Fedha za ndani?Anakopa benki za kibiashara za nje zenye riba kubwa kimya kimya anadanganya fedha za ndani.Alikuwa akitudanganya ati anatumia Fedha za ndani.
LISSU 2025
Bora anaeomba kuliko anaepora kama sio kuiba pesa za ummaNi ukweli ulio wazi kabisa kwamba Tundu Lisu na Shujaa Magufuli wanafanana katika mambo mengi ikiwemo Ujasiri, Kujiamini, Ubabe, Upendo na One Man Show
Tofauti yao ya Msingi ni Moja tu Kwamba Lisu anapendelea mambo ya kusaidiwa saidiwa hata kwenye kupeleka gari binafsi Gereji lakini Shujaa Magufuli alipenda kujitegemea kwa kila kitu hata Bombardier zilipakwa rangi hapa hapa Nchini
Ili apate kura za kuridhisha 2025 Tundu Lisu aachane na mambo ya kupitisha bakuli
Samahani kwa wale mliokwazika πΌ
Ahsanteni Sana π
Wapi Lisu kaomba msaada?Bora anaeomba kuliko anaepora kama sio kuiba pesa za umma
SahihiFedha za ndani?Anakopa benki za kibiashara za nje zenye riba kubwa kimya kimya anadanganya fedha za ndani.
Mkuu ili swali lako anatakiwa kulijibu mtoa madaBora anaeomba kuliko anaepora kama sio kuiba pesa za umma
kuomba omba na kudekadeka ni tabia ya kuzaliwa nayo lakini pia ni malezi tu πNi ukweli ulio wazi kabisa kwamba Tundu Lisu na Shujaa Magufuli wanafanana katika mambo mengi ikiwemo Ujasiri, Kujiamini, Ubabe, Upendo na One Man Show
Tofauti yao ya Msingi ni Moja tu Kwamba Lisu anapendelea mambo ya kusaidiwa saidiwa hata kwenye kupeleka gari binafsi Gereji lakini Shujaa Magufuli alipenda kujitegemea kwa kila kitu hata Bombardier zilipakwa rangi hapa hapa Nchini
Ili apate kura za kuridhisha 2025 Tundu Lisu aachane na mambo ya kupitisha bakuli
Samahani kwa wale mliokwazika πΌ
Ahsanteni Sana π
CrapNi ukweli ulio wazi kabisa kwamba Tundu Lisu na Shujaa Magufuli wanafanana katika mambo mengi ikiwemo Ujasiri, Kujiamini, Ubabe, Upendo na One Man Show
Tofauti yao ya Msingi ni Moja tu Kwamba Lisu anapendelea mambo ya kusaidiwa saidiwa hata kwenye kupeleka gari binafsi Gereji lakini Shujaa Magufuli alipenda kujitegemea kwa kila kitu hata Bombardier zilipakwa rangi hapa hapa Nchini
Ili apate kura za kuridhisha 2025 Tundu Lisu aachane na mambo ya kupitisha bakuli
Samahani kwa wale mliokwazika πΌ
Ahsanteni Sana π
So uyo mwendazake pesa alikua anatoa mfukoni mwake, Ngoja awe rais ndo utajua karama za watu ,Shujaa alikuwa mtu mchapakazi. Kila alikopitia utendaji wake wa kazi ulionekana wazi. Unawezaje kumlinganisha na lisu ambaye hana alama yoyote ya kuonyesha uchapakazi wake?
Bwashee, uchapakazi na upiga porojo ni vitu viwili tofauti kabisa.
Twende na Lisu 2025, Mungu alituamrisha kuwasimamia wanawake. Sisi ni nani tusifuate mafundisho ya mwenyezi Mungu? Tuepuke laana ya kukataa maelekezo ya mwenyezi Mungu.Alikuwa akitudanganya ati anatumia Fedha za ndani.
LISSU 2025
Ukiwa mporaji huhitaji kuomba. Lisu sio mporaji.Ni ukweli ulio wazi kabisa kwamba Tundu Lisu na Shujaa Magufuli wanafanana katika mambo mengi ikiwemo Ujasiri, Kujiamini, Ubabe, Upendo na One Man Show
Tofauti yao ya Msingi ni Moja tu Kwamba Lisu anapendelea mambo ya kusaidiwa saidiwa hata kwenye kupeleka gari binafsi Gereji lakini Shujaa Magufuli alipenda kujitegemea kwa kila kitu hata Bombardier zilipakwa rangi hapa hapa Nchini
Ili apate kura za kuridhisha 2025 Tundu Lisu aachane na mambo ya kupitisha bakuli
Samahani kwa wale mliokwazika πΌ
Ahsanteni Sana π
Mkuu,hapa hakuna suala la kukwazika, wewe umetoa hoja, na hoja hujibiwa kwa hoja pia unless utashikilia kwenye hoja yako hata kama imejibiwa vyema. Naona Lisu ni kama Nyerere ambaye alisahau hata kujijengea nyumba yake ya kuishi baada ya kustafu, ndivyo alivyo Lisu ; hana makuu kama huyo mwingine ya kujenga air port ya kutisha kwako, au kuwa bomolea watu nyumba zao bila kuwa fidia wala kifuta jasho. Lisu ni mtetezi wa haki.Ni ukweli ulio wazi kabisa kwamba Tundu Lisu na Shujaa Magufuli wanafanana katika mambo mengi ikiwemo Ujasiri, Kujiamini, Ubabe, Upendo na One Man Show
Tofauti yao ya Msingi ni Moja tu Kwamba Lisu anapendelea mambo ya kusaidiwa saidiwa hata kwenye kupeleka gari binafsi Gereji lakini Shujaa Magufuli alipenda kujitegemea kwa kila kitu hata Bombardier zilipakwa rangi hapa hapa Nchini
Ili apate kura za kuridhisha 2025 Tundu Lisu aachane na mambo ya kupitisha bakuli
Samahani kwa wale mliokwazika πΌ
Ahsanteni Sana π
Jamaa alikuwa bandit.Aombe wapi wakati alikuwa anazichota Nhif, Nssf ,plea and bargain au anawatuma wale vijana Nenda kwa singasinga
Mkuu, Magufuli alimpigania/mtetea nani nje ya ofisi za serrikali? Lisu anaendelea kuwatetea watu toka ahitimi elimu yake ya sheria hadi kesho bila kutegemea bajeti/mafungu ya Serikali.Magufuli alikuwa mpigaji Lissu siyo mpigaji