Pre GE2025 Tofauti ya Lissu na Magufuli ni moja: Magufuli hakupenda Vitu vya Msaada (bure), Lissu apunguze kuomba omba kuelekea 2025!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Ni ukweli ulio wazi kabisa kwamba Tundu Lisu na Shujaa Magufuli wanafanana katika mambo mengi ikiwemo Ujasiri, Kujiamini, Ubabe, Upendo na One Man Show

Tofauti yao ya Msingi ni Moja tu Kwamba Lisu anapendelea mambo ya kusaidiwa saidiwa hata kwenye kupeleka gari binafsi Gereji lakini Shujaa Magufuli alipenda kujitegemea kwa kila kitu hata Bombardier zilipakwa rangi hapa hapa Nchini

Ili apate kura za kuridhisha 2025 Tundu Lisu aachane na mambo ya kupitisha bakuli

Samahani kwa wale mliokwazika 🐼

Ahsanteni Sana πŸ˜‚
 
Magufuli alikuwa mpigaji Lissu siyo mpigaji
 
Bora anaeomba kuliko anaepora kama sio kuiba pesa za umma
 
kuomba omba na kudekadeka ni tabia ya kuzaliwa nayo lakini pia ni malezi tu πŸ’
 
Shujaa alikuwa mtu mchapakazi. Kila alikopitia utendaji wake wa kazi ulionekana wazi. Unawezaje kumlinganisha na lisu ambaye hana alama yoyote ya kuonyesha uchapakazi wake?
Bwashee, uchapakazi na upiga porojo ni vitu viwili tofauti kabisa.
 
Crap
Samia na serikali yake wanafanyaje?
 
Shujaa alikuwa mtu mchapakazi. Kila alikopitia utendaji wake wa kazi ulionekana wazi. Unawezaje kumlinganisha na lisu ambaye hana alama yoyote ya kuonyesha uchapakazi wake?
Bwashee, uchapakazi na upiga porojo ni vitu viwili tofauti kabisa.
So uyo mwendazake pesa alikua anatoa mfukoni mwake, Ngoja awe rais ndo utajua karama za watu ,
 
Ukiwa mporaji huhitaji kuomba. Lisu sio mporaji.
 
Mkuu,hapa hakuna suala la kukwazika, wewe umetoa hoja, na hoja hujibiwa kwa hoja pia unless utashikilia kwenye hoja yako hata kama imejibiwa vyema. Naona Lisu ni kama Nyerere ambaye alisahau hata kujijengea nyumba yake ya kuishi baada ya kustafu, ndivyo alivyo Lisu ; hana makuu kama huyo mwingine ya kujenga air port ya kutisha kwako, au kuwa bomolea watu nyumba zao bila kuwa fidia wala kifuta jasho. Lisu ni mtetezi wa haki.
 
Magufuli alikuwa mpigaji Lissu siyo mpigaji
Mkuu, Magufuli alimpigania/mtetea nani nje ya ofisi za serrikali? Lisu anaendelea kuwatetea watu toka ahitimi elimu yake ya sheria hadi kesho bila kutegemea bajeti/mafungu ya Serikali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…