bway hermit
JF-Expert Member
- Jan 8, 2017
- 1,337
- 2,339
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uzi wako haujaenea...ongezea na
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Lodge Ndala zinafanana
Guest Ndala hazifanan
Lodge Muhudum huwa yupo reception muda wot
Guest muhudum huwa amelala au hayupo kabsaa
Lodge unaruhusiwa kuangalia chumba kabla ya kulipa kwanza
Guest Lipa tukakuonyeshe sehem ya kulala
Lodge kila room ina Tv
Guest Tv ipo reception tu au isiwepo kabsaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, hakutaka kuyajua hayo mengine. Yeye sio mtu wa misosi, yeye ni mgegedajiUzi wako haujaenea...ongezea na
Hotel, Restaurant, Motel, Guesthouse, Lodge na Inn.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio maji ya baridi, kuna maji chumviLodge kuna maji ya moto
Guest maji ya baridi au hayapo kabisa
Guest kuna ndoo ya maji na kikombe cha kuogea. Lodge kuna ShowerLodge kuna maji ya moto
Guest maji ya baridi au hayapo kabisa
Kwani Guest na Lodge si ni kwaajili ya wageni? Tunaendaga tukisafiri, From Dar to DarUzi pekee wenye watazamani wengiii alafu wachangiaji kiduchu.
Hii inaonyesha watu ni wazinzi ndio, ila hawataki kuonekana wazinzi.