Tofauti ya mafao kati ya PSSSF na NSSF

Kwa kuongezea, Hivi mfano unafanya kazi kwenye kampuni inayomilikiwa na pssf na mafao yako yanaenda pssf, na wewe unahesabika kama mtumishi wa umma?
 
Ngoja waje wakupe muongozo ila nahisi hakuna tofauti maana inakatwa 10% ya basic salary.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…