Hakuna issue hapa. Sidhani kama thread hii ina hadhi ya kuwa hapaRaisi Samia alipokelewa kikawaida tu wakati Mfalme wa Uarabuni ndege yake ilipoingia tu Anga la Korea ilipokelewa na ndege za kijeshi na kusindikizwa Hadi ilipotua
Maskini ana mapokezi yake na Matajiri Wana mapokezi Yao
Ona tajiri Mfalme alivyopokelewa na Matajiri wenzie wa korea
View: https://youtu.be/LQXZFgnv5M4?si=zhjuPcUvgNrDuWrw
TENA NYERERRE ENZI HIZO AMBAZO WAZUNGU NA WAKOREA WAKIVAA KANIKI. ENZI HIZI NA YEYE ANGALIKUWA WA KAWAIDA TUNyerere pekee ndiyo alikuwa anapewa mapokezi ya kifalme kwa Malkia Uingereza Hadi Marekani kwa Reagan na Kennedy.
Ingia YouTube ujionee mwenyewe.
Kwani wewe hujui tofauti ya Raisi na Mfalme? Tanzania tuna raisi, hatuna mfalume wala malikia. Tanzania ni nchi ya jamhuri na si ya kifalume. Ufalume ni wa kudumu na hurithiwa kifamilia. Uraisi si wakudumu, unachaguliwa na wananchi kila baada ya kipindi kifupi na wananchi wana mamlaka ya kumuondoa wakati wo wote. Mfalme ndiye mwenye mamlaka yote kwenye falme yake, wananchi hawana mamlaka ye yote juu yake.Raisi Samia alipokelewa kikawaida tu wakati Mfalme wa Uarabuni ndege yake ilipoingia tu Anga la Korea ilipokelewa na ndege za kijeshi na kusindikizwa Hadi ilipotua
Maskini ana mapokezi yake na Matajiri Wana mapokezi Yao
Ona tajiri Mfalme alivyopokelewa na Matajiri wenzie wa korea
View: https://youtu.be/LQXZFgnv5M4?si=zhjuPcUvgNrDuWrw
Bandari kubwa hivyo, BRT si tumeangukia pua.Kiongozi naona unataka kufananisha Mbingu na Ardhi
Juzi Watanzania tuliposhindwa kuendesha Bandari zetu tuliwapa hao hao wa Dubai kuziendesha.
Halafu ndiyo utegemee Mapokezi ya Rais wetu yafanane na ya huyo wa Falme za Kiarabu 🙌
Sisi Kila kitu hatuwezi, halafu ndiyo tunataka Kiongozi wetu apokelewe kama Mfalme wa UAE 🙌Bandari kubwa hivyo, BRT si tumeangukia pua.
Wewe unajaribu kulinganisha Rais ombaomba na Mfalme bilionea, anayefadhili miradi mbalimbali Ulimwenguni?😁Rais Samia alipokelewa kikawaida tu wakati Mfalme wa Uarabuni ndege yake ilipoingia tu Anga la Korea ilipokelewa na ndege za kijeshi na kusindikizwa Hadi ilipotua
Maskini ana mapokezi yake na Matajiri Wana mapokezi Yao
Ona tajiri Mfalme alivyopokelewa na Matajiri wenzie wa korea
View: https://youtu.be/LQXZFgnv5M4?si=zhjuPcUvgNrDuWrw
Waswahili bana tuna mambo madogo madogo badala ya kuumiza kichwa namna ya kukuza uchumi wa Nchi. Hopeless kabisaaaRais Samia alipokelewa kikawaida tu wakati Mfalme wa Uarabuni ndege yake ilipoingia tu Anga la Korea ilipokelewa na ndege za kijeshi na kusindikizwa Hadi ilipotua
Maskini ana mapokezi yake na Matajiri Wana mapokezi Yao
Ona tajiri Mfalme alivyopokelewa na Matajiri wenzie wa korea
View: https://youtu.be/LQXZFgnv5M4?si=zhjuPcUvgNrDuWrw
Wewe siyo bure hiyo akili yako unahitaji msaada.TENA NYERERRE ENZI HIZO AMBAZO WAZUNGU NA WAKOREA WAKIVAA KANIKI. ENZI HIZI NA YEYE ANGALIKUWA WA KAWAIDA TU
SahihiNyerere pekee ndiyo alikuwa anapewa mapokezi ya kifalme kwa Malkia Uingereza Hadi Marekani kwa Reagan na Kennedy.
Ingia YouTube ujionee mwenyewe.