Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,515
- 6,230
WALIJUA NI BOMU LIMEKUJA KUJILIPUA WE UJIONGEZI TURais Samia alipokelewa kikawaida tu wakati Mfalme wa Uarabuni ndege yake ilipoingia tu Anga la Korea ilipokelewa na ndege za kijeshi na kusindikizwa Hadi ilipotua
Maskini ana mapokezi yake na Matajiri Wana mapokezi Yao
Ona tajiri Mfalme alivyopokelewa na Matajiri wenzie wa korea
View: https://youtu.be/LQXZFgnv5M4?si=zhjuPcUvgNrDuWrw
Uende na shishi baby utegemee mapokezi mazito?😄
Ova
Umenda mbali sana hao wanao jiita ma Rais wa nchi hasa Africa kimataifa hawatambuli kwa hadhi ya Rais ndiyo maana kwwny uapisho wa mfalme wa ENGLAND walipandishwa kwenye basi la pamojaRais Samia alipokelewa kikawaida tu wakati Mfalme wa Uarabuni ndege yake ilipoingia tu Anga la Korea ilipokelewa na ndege za kijeshi na kusindikizwa Hadi ilipotua
Maskini ana mapokezi yake na Matajiri Wana mapokezi Yao
Ona tajiri Mfalme alivyopokelewa na Matajiri wenzie wa korea
View: https://youtu.be/LQXZFgnv5M4?si=zhjuPcUvgNrDuWrw
Mtu ambae kila siku kiguu na njia unadhani atapokelewa namna gani? Hata yeye angekuwa anatulia nyumbani na kutoka mara moja moja angepokelewa vizuri tu.
Nasikia kuna wakati alienda marekani akapokelewa kama mtu alomtembelea ndugu yake..unnoticed!
TunaRais Samia alipokelewa kikawaida tu wakati Mfalme wa Uarabuni ndege yake ilipoingia tu Anga la Korea ilipokelewa na ndege za kijeshi na kusindikizwa Hadi ilipotua
Maskini ana mapokezi yake na Matajiri Wana mapokezi Yao
Ona tajiri Mfalme alivyopokelewa na Matajiri wenzie wa korea
View: https://youtu.be/LQXZFgnv5M4?si=zhjuPcUvgNrDuWrw
Mungu akamuuliza Musa una nini mkononi mwako?!Rais Samia alipokelewa kikawaida tu wakati Mfalme wa Uarabuni ndege yake ilipoingia tu Anga la Korea ilipokelewa na ndege za kijeshi na kusindikizwa Hadi ilipotua
Maskini ana mapokezi yake na Matajiri Wana mapokezi Yao
Ona tajiri Mfalme alivyopokelewa na Matajiri wenzie wa korea
View: https://youtu.be/LQXZFgnv5M4?si=zhjuPcUvgNrDuWrw