Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbao za buhindi ni nzuri sana lakini bei yake ni kubwa kuliko za iringa inategemea unaishi wapiKama ilivo kwenye utangulizi, mdau anaomba kufahamu tofauti ya mbao za Buhindi na za Iringa manake wauza mbao ukiwaambia watoe tofauti wanakuwa waswahili tu hawasemi wazi wazi.... msaada kwenu wakuu anayefahamu anisaidie hilo
Buhindi forest , ninmsitu wa serikali uliaoanzishwa na mwalimu Julius Nyerere miaka ya 70,unapatika Mwanza ,Sengerema -BuchosaBuhindi ni wapi kwanza tuanzie hapo.