Tofauti ya mkulima wa Afrika na mkulima wa nchi za Magharibi

Tofauti ya mkulima wa Afrika na mkulima wa nchi za Magharibi

chizcom

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
8,680
Reaction score
18,035
Siku moja nilikaribishwa na rafiki yangu mzungu kwake,nilipofika kwake nikakuta wageni wengi waliokuja kujumuika kwake. Mambo yakaanzia hapa baada ya kujitambulisha kuwa na fanyabiashara na wazazi wangu wakulima kwa kizungu Farmer walishtuka sana na kuanza kuniogopa !.

Baada ya mda nikajiuliza kwa nini wameniogop wakati mimi ndio nilitakiwa kuwaogopa si unajua watu weusi tunavo waogopa ngozi nyeupe.

Unaposema neno farmer kwa wenzatu wanatambua wewe ni mkulima mkubwa sana ambaye unaweza kulisha nchi mpaka nchi zengine.kwa sababu farmer kwa kiswahili ni mkulima unatakiwa kusema peasant,sijajua kwa kiswahili tunasemaje.

Peasant ni sisi ambao tunalima kwa jembe na kila siku tukitumiwa na wanasiasa kama mitaji yao.

Wakulima wa nchi za magharibi ni watu ambao wanaogopwa na serikali sio huku kwetu kwa kudaganywa na kupunguziwa mbolewa na masoko.

Wakulima wa nchi za magharibi ndio wamiliki wakubwa wa ardhi tokea enzi na enzi na wanakopesheka bila kikomo ndio maana unaona wanamaghala makubwa,mashine,wafanyakazi,vifaa vya kisasa na nyumba zuri pamoja na utajiri mkubwa.

serikali kuna haja la kuangalia ili tusije kujikuta kama kenya miaka ya vizazi vijazo
 
Siku moja nilikaribishwa na rafiki yangu mzungu kwake,nilipofika kwake nikakuta wageni wengi waliokuja kujumuika kwake. Mambo yakaanzia hapa baada ya kujitambulisha kuwa na fanyabiashara na wazazi wangu wakulima kwa kizungu Farmer walishtuka sana na kuanza kuniogopa !.

Baada ya mda nikajiuliza kwa nini wameniogop wakati mimi ndio nilitakiwa kuwaogopa si unajua watu weusi tunavo waogopa ngozi nyeupe.

Unaposema neno farmer kwa wenzatu wanatambua wewe ni mkulima mkubwa sana ambaye unaweza kulisha nchi mpaka nchi zengine.kwa sababu farmer kwa kiswahili ni mkulima unatakiwa kusema peasant,sijajua kwa kiswahili tunasemaje.

Peasant ni sisi ambao tunalima kwa jembe na kila siku tukitumiwa na wanasiasa kama mitaji yao.

Wakulima wa nchi za magharibi ni watu ambao wanaogopwa na serikali sio huku kwetu kwa kudaganywa na kupunguziwa mbolewa na masoko.

Wakulima wa nchi za magharibi ndio wamiliki wakubwa wa ardhi tokea enzi na enzi na wanakopesheka bila kikomo ndio maana unaona wanamaghala makubwa,mashine,wafanyakazi,vifaa vya kisasa na nyumba zuri pamoja na utajiri mkubwa.

serikali kuna haja la kuangalia ili tusije kujikuta kama kenya miaka ya vizazi vijazo
Ulitumia neno sio kwa kiingereza sio farmer ungesema ni substance peasant. Wange kuelewa vizuri
 
Siku moja nilikaribishwa na rafiki yangu mzungu kwake,nilipofika kwake nikakuta wageni wengi waliokuja kujumuika kwake. Mambo yakaanzia hapa baada ya kujitambulisha kuwa na fanyabiashara na wazazi wangu wakulima kwa kizungu Farmer walishtuka sana na kuanza kuniogopa !.

Baada ya mda nikajiuliza kwa nini wameniogop wakati mimi ndio nilitakiwa kuwaogopa si unajua watu weusi tunavo waogopa ngozi nyeupe.

Unaposema neno farmer kwa wenzatu wanatambua wewe ni mkulima mkubwa sana ambaye unaweza kulisha nchi mpaka nchi zengine.kwa sababu farmer kwa kiswahili ni mkulima unatakiwa kusema peasant,sijajua kwa kiswahili tunasemaje.

Peasant ni sisi ambao tunalima kwa jembe na kila siku tukitumiwa na wanasiasa kama mitaji yao.

Wakulima wa nchi za magharibi ni watu ambao wanaogopwa na serikali sio huku kwetu kwa kudaganywa na kupunguziwa mbolewa na masoko.

Wakulima wa nchi za magharibi ndio wamiliki wakubwa wa ardhi tokea enzi na enzi na wanakopesheka bila kikomo ndio maana unaona wanamaghala makubwa,mashine,wafanyakazi,vifaa vya kisasa na nyumba zuri pamoja na utajiri mkubwa.

serikali kuna haja la kuangalia ili tusije kujikuta kama kenya miaka ya vizazi vijazo
Nakuelewa sanaaa,sisi tunaotegemea hekaya za akina bashe ni wakulima wa kujikimu tuuu.

Mkulima wa kweli hawezi pangiwa bei na serikali, au kupangiwa wapi pa kuuza mazao yakoo.

Ndio maana mazao yote ambayo ni mtaji wa wanasiasa wetu uchwara,mimi siyalimiii
 
Fikiria unalima mahindi kwa gharama zako bila msaada wa aina yoyote kutoka serikalini, ila siku ya kuuza mkuu wa wilaya anaweza kukupangia wapi uuze mahindi yako.huu ni uwendawazimuuu uliopitilizaaa
 
Mkopo elimu ya juu, mwanangu mmoja akaandik KAZI ya mzazi ni FARMER, wallah hakupata had mwka ulofata baada kuandika Peasant.
 
Back
Top Bottom