Tofauti ya msaada wa pesa na ujuzi/maarifa

Tofauti ya msaada wa pesa na ujuzi/maarifa

environmental

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2010
Posts
1,054
Reaction score
137
Tumekuwa tukisema tunasaidiwa makaratasi yanayoitwa pesa miaka mingi na umasikini wetu umekithiri. Kuna haja ya kusaidiwa misaada thabiti ya maarifa, kama ni kuzalisha bidhaa muhimu ze nye soko duniani ingawa nchi za ulaya zina dorora zilikuwa mfano wa kuigwa katika maendeleo wanasema (economic evolution) ni wakati wetu wa kujikwamua .
 
Back
Top Bottom