Tofauti ya mtoto wa geti kali na mtoto wa uswazi

Mtoto wa uswaz ukimpa pesa ajitreat, familia nzima inaisubiri wala hauzwi hii pesa umeitoa wapi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji121] [emoji121] [emoji121] Usinifanye nikahisi wewe ni wa uswazi coz hufananii ila unawajua......
wanapeanaga zamu ya kununua vitafunwa
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji121] [emoji121] [emoji121] Usinifanye nikahisi wewe ni wa uswazi coz hufananii ila unawajua......
wanapeanaga zamu ya kununua vitafunwa
Mimi ni wa Kwamtogole mkuu.
 
Sina comments ila najua watoto wa Uswazi yake maisha hawayapendi basi hawana namna. Huwa wanaishi kwa kudura za Mungu tofauti na wa getini hutegemea sana mifuko ya wazazi wao
 
kwenye bed ndo usiseme mtoto wa uswazi atakupa vyoooteee ushindwe ww ila hao kina wema sepetu utasikia no baby it hurts, slow slow why you keep harder? Am still yours
Shenzzzziii waache wawapende kina diamond ndo wenzao
[emoji14] [emoji14]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…