falcon mombasa JF-Expert Member Joined Mar 5, 2015 Posts 9,189 Reaction score 9,299 Oct 8, 2018 #21 MAGARI
Jimmie Gatsby JF-Expert Member Joined Mar 7, 2013 Posts 3,587 Reaction score 7,272 Oct 8, 2018 #22 joshua_ok said: Sure. Sheria ipitishwe kukataza magari used Click to expand... gharama za gari mpya watanzania wengi hawazimudu.. nikupe tu mfano toyora VITZ model of 2018 CIF yake ni 12000 USD ...Import Tax yake ni 16 tsh milioni ukijumlisha unapata kama milion 40 kwa vitz tu ambayo hata mvua ikinyesha kuendesha ni mtihani sasa sibora ununue harrier model of 2006 kwa 24 milion hyo 16 inayobaki ufanyie mambo mengine
joshua_ok said: Sure. Sheria ipitishwe kukataza magari used Click to expand... gharama za gari mpya watanzania wengi hawazimudu.. nikupe tu mfano toyora VITZ model of 2018 CIF yake ni 12000 USD ...Import Tax yake ni 16 tsh milioni ukijumlisha unapata kama milion 40 kwa vitz tu ambayo hata mvua ikinyesha kuendesha ni mtihani sasa sibora ununue harrier model of 2006 kwa 24 milion hyo 16 inayobaki ufanyie mambo mengine
Raynavero JF-Expert Member Joined Apr 29, 2014 Posts 38,378 Reaction score 56,047 Oct 8, 2018 #23 joshua_ok said: Wazanzibari wamelijua hilo anatumia magari huko kwao akilichoka analileta bara (anatoa namba za zanzibar) na kuwauzia ma-chogo namba "D" Click to expand... Hahaaa kumbeee
joshua_ok said: Wazanzibari wamelijua hilo anatumia magari huko kwao akilichoka analileta bara (anatoa namba za zanzibar) na kuwauzia ma-chogo namba "D" Click to expand... Hahaaa kumbeee