Tofauti ya Nyama ya Ng'ombe na Punda?

Tofauti ya Nyama ya Ng'ombe na Punda?

Daby

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2014
Posts
33,894
Reaction score
76,810
Nimejaribu kutafuta tofauti ya Nyama ya Punda na Ng'ombe sijaweza kutofautisha.

Kilichofanya hadi nianze kutafuta tofauti ni namna ambavyo nimekuwa najisikia siku hizi baada ya kula hii nyama niliyonunua.

Mimi napenda nyama sana. Siku tatu hazipiti sijala nyama...athari siziogopi maana naipenda nyama.

Hawa wauzaji siwaamini kabisa...wanaweza kukuuzia punda, tofauti ya hizi nyama mbili ni nini? Kwa wanaozijua...
 
Kiukweli binafsi nyama ikishapikwa ni ngumu kujua ni aina gani ya nyama labda yule expert kweli kweli

Hususani zile nyama za ndani kama maini

Ebu fikiria ukipewa maini ya mbwa utajuaje kuwa hii nyama ni ya doggie na sio cow?
 
Nimejaribu kutafuta tofauti ya Nyama ya Punda na Ng'ombe sijaweza kutofautisha.

Kilichofanya hadi nianze kutafuta tofauti ni namna ambavyo nimekuwa najiskia siku hizi baada ya kula hii nyama niliyonunua.

Mimi napenda nyama saana. Siku tatu hazipiti sijala nyama...athari siziogopi maana naipenda nyama

Hawa wauzaji siwaamini kabisa...wanaweza kukuuzia punda, tofauti ya hizi nyama mbili ni nini? Kwa wanaozijua...
Unajisikiaje kwan? au una beba sana mizigo au shukrani zako siku hizi ni mateke ama uume wako ni umeongezeka kimo 😂😂 , emu fafanua vizuri asee.
 
Nimejaribu kutafuta tofauti ya Nyama ya Punda na Ng'ombe sijaweza kutofautisha.

Kilichofanya hadi nianze kutafuta tofauti ni namna ambavyo nimekuwa najisikia siku hizi baada ya kula hii nyama niliyonunua.

Mimi napenda nyama sana. Siku tatu hazipiti sijala nyama...athari siziogopi maana naipenda nyama.

Hawa wauzaji siwaamini kabisa...wanaweza kukuuzia punda, tofauti ya hizi nyama mbili ni nini? Kwa wanaozijua...
Mkuu usipanic - nyama kama umeshakula ndo umekula haina shida. Tofauti zake ni kama ifuatavyo:
1.Nyama ya ng'ombe ina mafuta kiasi kikubwa (Fats content)ila sio kama ya nguruwe. Nyama ya ng'ombe ni compact(Imejishindilia) i.e. haiko tepetepe/haija legea-legea.
Nyama ya ng'ombe ni nyekundu iliyochanganya na njano( kutokana na kuwepo Fats).
2. Nyama ya punda imelegea(loose) na ina ka-harufu fulani kama samaki mbichi kwa mbali.Ukipika nyama ya punda utagundua kuwa inakuwa kama inataka kuumuka fulani hv mwanzoni lakini ikiiva inakuwa laini nzuri na bila gas.
Nyama ya punda, mnofu wake unalayers ndefu (Striated muscle tissues) zaidi ya mnofu wa ng'ombe. Ni nyama nzuri sana kwani haina deposited fats kwenye misuli yake tofauti na ya ng'ombe ambapo unaweza kukuta mnofu una mafuta ndani yake esp. kama ng'ombe aliyechinjwa alikuwa mzee na kanenepa e.g.Maksai.
** Unaweza kusoma/kupata taarifa zaidi kwa Ku-Google Punda na Bidhaa zake e.g. maziwa,ngozi n.k.
 
Back
Top Bottom