Tofauti ya shockups za magarii

Tofauti ya shockups za magarii

samilakadunda

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2011
Posts
1,780
Reaction score
355
Wadau naomba kujuzwa , nini tofauti ya shockups za magari?, nikiendesha noah townws nikipita kwenye barabara ya vumbi yenye rasta, ( pambs) gari inatikisika hadii inahama njia, wakati nikichukua gari nyingine napita kanakwamba hakuna rasta, nini shida ya hii garii ? Ni aina ya shockups nikizo funga au zimechoka, msaada tafadhari.
 
Shockup ztakuwa zmechoka,jaribu kuwahusisha na mafundi usikie maoni yao
 
Noah ndo zilivyo mkuu ni nyepesi sana hata ya kwangu iko ivyo
 
Wadau naomba kujuzwa , nini tofauti ya shockups za magari?, nikiendesha noah townws nikipita kwenye barabara ya vumbi yenye rasta, ( pambs) gari inatikisika hadii inahama njia, wakati nikichukua gari nyingine napita kanakwamba hakuna rasta, nini shida ya hii garii ? Ni aina ya shockups nikizo funga au zimechoka, msaada tafadhari.


pole sana, tatizo linaweza lisiwe shock up . ila fatilia yafuatayo
:
1. aina ya gari
2. uzito wa gari husika
3. upepo wa tairi
4. mwendo unaotembea.
 
Nakubaliana na wewe,kama ni ya kutembelea mwenyewe jaribu kuwe upepo mbele 35 na nyuma 40 alafu uone hautasikia hata kelele nilifanya ivyo nikaona mkuu
 
Nakubaliana na wewe,kama ni ya kutembelea mwenyewe jaribu kuwe upepo mbele 35 na nyuma 40 alafu uone hautasikia hata kelele nilifanya ivyo nikaona mkuu
Upepo mwingi kwenye tairi kwenye rasta barabara lazima utakutoa nje tu, tena hasa tairi za mbele zikiwa na upepo mwingi ndio balaa, hii ni hata kwenye pikipiki si gari tu
 
Wadau naomba kujuzwa , nini tofauti ya shockups za magari?, nikiendesha noah townws nikipita kwenye barabara ya vumbi yenye rasta, ( pambs) gari inatikisika hadii inahama njia, wakati nikichukua gari nyingine napita kanakwamba hakuna rasta, nini shida ya hii garii ? Ni aina ya shockups nikizo funga au zimechoka, msaada tafadhari.
Zimeshachoka hizo na kama ni mpya ni zile duni
 
Back
Top Bottom