Tofauti ya ubora kati ya mabati ya viwanda vya ALAF na ANDO

Tofty

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2008
Posts
206
Reaction score
13
Wadau,

Napenda kujua tofauti ya ubora kati ya mabati yanayotengenezwa na viwanda hii viwili hapa Tanzania ambavyo ni ALAF na ANDO.
 
Ubora wa Bati hautofautiani sana isipokuwa we cheki gharama tu.
 
Binafsi nakushauri nunua kutoka Alaf maana nilinunua aina ya versatile kutoka alaf mwaka 2011 hadi leo yapo vizuri kwa maana hayajapauka rangi but jirani zangu walionunua kama hayo kwa maana ya mgongo mpana katika kipindi hicho hicho yamepauka kweli kweli. Hata hivyo, sina uhakika walinunua wapi lakn sio Alaf.
 

ni kweli kabisa hawa jamaa nawakubali kabisa sana swala ni kujipanga tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…