Tofauti ya Wabantu, Hamatics, Nilotics na Mang'ati hapa nchini

Tofauti ya Wabantu, Hamatics, Nilotics na Mang'ati hapa nchini

Kifaru86

JF-Expert Member
Joined
Apr 22, 2017
Posts
1,734
Reaction score
3,822
Katika pitapita zangu sehemu nilikuta watu wakizungumza habari za Wabantu na asili ya wabantu lakini pia nikasikia habari za Hamatics group, Nilotics group na Mang'ati group nimejaribu ku google lakini majibu ya google hayajajitoleza.

Hivyo wana JF napenda mnisaidie kufahamu tofauti ya makundi ya Kibantu, Hamatics, Nilotics na Mang'ati lakini pia tabia zao zinatofautiana vipi.

Lakini pia kwa hapa nchini ni makabila gani huwa yanapatikana katika bantu group, Hamatics, Nilotics na Mang'ati group.

Hebu tusaidiane
 
Kwa kifupi tuu wabantu ndio wengi kuliko hao wengine.

Tofauti ni kwamba hamatics group limebeba wanyamwezi, wamasai,wangaza,watusi, wachaga na wameru.

Wakushii au cushites hapa unawakuta wasambaa, wabondei,wadigo na wasomali

Nilotics group hapa kuna mkurya mjaluo,mjita,msukuma,wahaya

Bushmen group hapa kuna wasandawe,waman'gati, warangi wambulu,wasenyee,wanyairamba,wanyaturu,
 
Wabantu ni (wasambaa,wachagga,wapare,wazigua,waha,nk)
Nilotes ni (Wamasai,Wagorowa na Waburungi)
Humites ni(Wairaqw/wambulu,)
Cushites (wanyaturu,warangi wameru)
 
Si
Kwa kifupi tuu wabantu ndio wengi kuliko hao wengine.

Tofauti ni kwamba hamatics group limebeba wanyamwezi, wamasai,wangaza,watusi, wachaga na wameru.

Wakushii au cushites hapa unawakuta wasambaa, wabondei,wadigo na wasomali

Nilotics group hapa kuna mkurya mjaluo,mjita,msukuma,wahaya

Bushmen group hapa kuna wasandawe,waman'gati, warangi wambulu,wasenyee,wanyairamba,wanyaturu,
Sio kweli kabisa mkuu
 
Kuna definition ya white anthropologists ambao ndio tunayofundishwa mashuleni.

Pia kuna definition ya kibiblia. According to definition ya kibiblia, wabantu, wanailotes na wasan (wakoikoi, bushmen) wote ni Hamites. Definition ya kibiblia ndio sahihi. Of course Ham hakulaaniwa, alielaaniwa na Noah ni Canaan.

Lugha inayojulikana leo kama kibantu, ni lugha ya zamani sana. Kama wewe ni mbantu ukisoma maneno ya ancient Sumeria (wakati inakaliwa na watu weusi, Hamites) utashangaa kwamba unaelewa baadhi ya maneno hayo. Ancient Sumeria ilikuwa eneo ambalo leo linajulikana kama Iraq. Wanadamu wote baada ya kutoka kwenye safina ya Noah walikaa kwenye eneo hilo la Iraq.

Nimrod alijenga mji wa Babel ambao pia uko maeneo hayo. Mji wa Ur ulikuwa jirani na Sumeria. WaShem ndio walikua wakiishi Ur ya Wakaldayo. Abraham alitokea Ur, ndio akahamia Canaan. Abraham alivyoenda Misri na Mke wake Sarah, wale wamisri wa wakati ule na yule pharao walikua ni watu weusi.
 
Back
Top Bottom