Tom_Mbayeye
Member
- Aug 3, 2018
- 15
- 17
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mxieeww ndio wapi dogo wa Dar?Mijanaume ya mkoa ikija Dar inaiga mambo za kike hadi saluni inaenda Mxieeww
Mbakigi makwenu Nyau nyie mnafanya hadi wanaume sisi wa Dar tuonekane majinga
Dar hatutak shoboooo sisi ni watafutaji buaanaa
Copy kwa
Mshana Jr Nimeambiwa ndie mtu maarufu humu JF
Sky Eclat
View attachment 826823
Mijanaume ya mkoa ikija Dar inaiga mambo za kike hadi saluni inaenda Mxieeww
Mbakigi makwenu Nyau nyie mnafanya hadi wanaume sisi wa Dar tuonekane majinga
Dar hatutak shoboooo sisi ni watafutaji buaanaa
Copy kwa
Mshana Jr Nimeambiwa ndie mtu maarufu humu JF
Sky Eclat
View attachment 826823
Kama hapo juu kuna kishoga cha Dar lazima kijivunie kuwa Kishoga.
Mleta mada ni mdau maarufu sana group la kilimani mums and dads facebook ni mkenya,tombayeye karibu jamiiforums ila mambo ya kule huku usilete huku kuna ban maana hukawii yale mambo yako kuyaleta huku.New member wanasumbua sana. Tabia za ki @fb usituletee humu ndani.
mtoa post huku jf sio fb tumia lugha fasaha sio kuandika x badala ya s, jomoni badala ya jamani, ila karibu jf mkuu
Hizi I'd za kishoga zenye miandiko tata zimekuwa nyingi sana humu ndani.
Ukishaona jinsia ya "me" inasema "mijianaume" anza kumtilia shaka.