Tofuti ya wanaume wa Dar na wa mikoani

Tom_Mbayeye

Member
Joined
Aug 3, 2018
Posts
15
Reaction score
17
Mijanaume ya mkoa ikija Dar inaiga mambo za kike hadi saluni inaenda Mxieeww

Mbakigi makwenu Nyau nyie mnafanya hadi wanaume sisi wa Dar tuonekane majinga

Dar hatutak shoboooo sisi ni watafutaji buaanaa

Copy kwa
Mshana Jr Nimeambiwa ndie mtu maarufu humu JF
Sky Eclat
 
New member wanasumbua sana. Tabia za ki @fb usituletee humu ndani.
Mleta mada ni mdau maarufu sana group la kilimani mums and dads facebook ni mkenya,tombayeye karibu jamiiforums ila mambo ya kule huku usilete huku kuna ban maana hukawii yale mambo yako kuyaleta huku.
 
Siku moja nipo maeneo ya Sinza.... Napita naona jamaa mwanaume anasuguliwa miguuu na mikono.

Nilishangaa balaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…