Wanaume wa dar ndo walivyomtoa post huku jf sio fb tumia lugha fasaha sio kuandika x badala ya s, jomoni badala ya jamani, ila karibu jf mkuu
Ndio wewe kwenye avatar? No more questions!Hahahaaaa wa dar forever najivunia kuwa wa dar milele
wanatia aibu eti mwanaume anajibu "tantee"Wanaume wa dar ndo walivyo
[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]new member + uanaume wa dar + FB + unatumia Tecno = hakuna kitu kichwani
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]umesahau pia kuwa mshana jr ndo atakuwa bwana wako wa JF