GAZETI JF-Expert Member Joined Feb 24, 2011 Posts 5,286 Reaction score 6,736 Oct 3, 2015 #1 Wakuu huwa najaribu kutafakari kwa makini lakini nashindwa kupata jibu, kwa mujibu wa wataalamu wetu ni kuwa kufanyiwa Tohara kunapunguza maambukizi ya UKIMWI nataka kujua kivipi wakati ile ngozi ya ndani ni laini zaidi kuliko hii ya nje?
Wakuu huwa najaribu kutafakari kwa makini lakini nashindwa kupata jibu, kwa mujibu wa wataalamu wetu ni kuwa kufanyiwa Tohara kunapunguza maambukizi ya UKIMWI nataka kujua kivipi wakati ile ngozi ya ndani ni laini zaidi kuliko hii ya nje?