Tohara kwa wanaume na maambukizi ya VVU

GAZETI

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2011
Posts
5,286
Reaction score
6,736
Wakuu huwa najaribu kutafakari kwa makini lakini nashindwa kupata jibu,
kwa mujibu wa wataalamu wetu ni kuwa kufanyiwa Tohara kunapunguza
maambukizi ya UKIMWI nataka kujua kivipi wakati ile ngozi ya ndani ni laini
zaidi kuliko hii ya nje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…