Huyu m-bush mi c mshangai coz toilet pepa si sio utamadun we2.
Sisi tumekua tukitumia maji.
Na majani..kwetu kuna majani fulani mazuri sana kushinda toilet paper!
Jamaa mmoja toka bush alienda mjini kutembea ukweni.
baada ya kufikapo akapewa vyakula vya aina mbalimbali including vile asivyovifahamu!
baadaye akashikwa na haja,alipoomba kwenda restroom akaambiwa na ma mkwe wake:" Subiri kwanza tukupe Toilet paper ndo uende ku choo."kwa vile alikuwa ameshiba akasema(huku akidhani toilet paper ni chakula);" OOh samahanini saaana, hiyo toilet paper niwekeeni nitaila kesho maana nimeshiba saana." Ma mkwe akabaki ameshangaaa!!
sasa mshamba nani hapa? aliyetoka bush au anayeishi mjini? Kwanini toilet paper zisikae restroom?
Na majani..kwetu kuna majani fulani mazuri sana kushinda toilet paper!
Hata magunzi ya mahindi. teh teh!
Jamaa mmoja toka bush alienda mjini kutembea ukweni.
baada ya kufikapo akapewa vyakula vya aina mbalimbali including vile asivyovifahamu!
baadaye akashikwa na haja,alipoomba kwenda restroom akaambiwa na ma mkwe wake:" Subiri kwanza tukupe Toilet paper ndo uende ku choo."kwa vile alikuwa ameshiba akasema(huku akidhani toilet paper ni chakula);" OOh samahanini saaana, hiyo toilet paper niwekeeni nitaila kesho maana nimeshiba saana." Ma mkwe akabaki ameshangaaa!!