Toka akutane na mwenza wake ni siku 11 sasa uume umegoma kulala? Anasema hajapita sehemu nyingine, tunamsaidiaje?

Toka akutane na mwenza wake ni siku 11 sasa uume umegoma kulala? Anasema hajapita sehemu nyingine, tunamsaidiaje?

mazongera

Member
Joined
Jan 17, 2015
Posts
66
Reaction score
80
Ni dereva wa malori ya mchanga. Ni takribani siku kumi na moja zimepita tangu kutokewa na hili janga. Kwa mujibu wa maelezo yake, baada ya kutoka kwenye mishe zake moja kwa moja alirejea nyumbani bukheri wa afya.

Usiku wakati yupo kwenye mapumziko na mwenza wake,ndipo tatizo lilipomuanzia. Ni baada tu ya kutoka kustarehe na mwenza wake, mnara tangu usome 5G umeendelea kuwa hivyo hadi leo hii.

Pamoja na hilo,jitihada mbalimbali za kawaida zimefanyika kuweza kumnusuru na hali hiyo ikiwemo kumpa fursa ya kufunguka yeye mwenyewe kama kuna sehemu yoyote alipita tofauti na mwenza wake ila jamaa anakomaa na kusimamia kauli yake ya kuwa imemtokea hivyo akiwa faragha na mwenza wake.

Mpaka sasa jitihada mbalimbali zinaendelea kufanyika kwa jamaa huyo bila mafanikio. Jamiiforums ni sehemu pekee yenye kila aina ya watu. Maoni,ushauri, pia uzoefu wenu katika masuala mbalimbali katika jamii yamekuwa msaada mkubwa.

Je ni kweli kuwa jamaa tatizo lake limetokana baada tu ya kutoka faragha na mwenzi wake au kuna kitu kipo nyuma ya pazia hataki kuweka wazi?
 
Ni dereva wa malori ya mchanga. Ni takribani siku kumi na moja zimepita tangu kutokewa na hili janga. Kwa mujibu wa maelezo yake, baada ya kutoka kwenye mishe zake moja kwa moja alirejea nyumbani bukheri wa afya.

Usiku wakati yupo kwenye mapumziko na mwenza wake,ndipo tatizo lilipomuanzia. Ni baada tu ya kutoka kustarehe na mwenza wake, mnara tangu usome 5G umeendelea kuwa hivyo hadi leo hii.

Pamoja na hilo,jitihada mbalimbali za kawaida zimefanyika kuweza kumnusuru na hali hiyo ikiwemo kumpa fursa ya kufunguka yeye mwenyewe kama kuna sehemu yoyote alipita tofauti na mwenza wake ila jamaa anakomaa na kusimamia kauli yake ya kuwa imemtokea hivyo akiwa faragha na mwenza wake.

Mpaka sasa jitihada mbalimbali zinaendelea kufanyika kwa jamaa huyo bila mafanikio. Jamiiforums ni sehemu pekee yenye kila aina ya watu. Maoni,ushauri, pia uzoefu wenu katika masuala mbalimbali katika jamii yamekuwa msaada mkubwa.

Je ni kweli kuwa jamaa tatizo lake limetokana baada tu ya kutoka faragha na mwenzi wake au kuna kitu kipo nyuma ya pazia hataki kuweka wazi?
Kazi sanaaa nina rafiki yangu alikuwaga na shida kama hiyo muda mrefu sasa ngoja nijaribu kama nitampata.....nita share humu...pole sanaa
 
Aseme tu kama alitumia dawa za kusimamisha.ila hiyo hali si nzuri anaweza kufa kutokana na wingi wa damu kujaa tu sehemu hiyo kwa muda mrefu. Ni hatari kwa kweli bora aende hospitalini kuliko kienyeji. Kienyeji itabidi agongwegongwe ankle kwa kirungu ili apate maumivu and then hiyo kitu itarudi kwa hali yake ya mwanzo kama si tego
 
Ni dereva wa malori ya mchanga. Ni takribani siku kumi na moja zimepita tangu kutokewa na hili janga. Kwa mujibu wa maelezo yake, baada ya kutoka kwenye mishe zake moja kwa moja alirejea nyumbani bukheri wa afya.

Usiku wakati yupo kwenye mapumziko na mwenza wake,ndipo tatizo lilipomuanzia. Ni baada tu ya kutoka kustarehe na mwenza wake, mnara tangu usome 5G umeendelea kuwa hivyo hadi leo hii.

Pamoja na hilo,jitihada mbalimbali za kawaida zimefanyika kuweza kumnusuru na hali hiyo ikiwemo kumpa fursa ya kufunguka yeye mwenyewe kama kuna sehemu yoyote alipita tofauti na mwenza wake ila jamaa anakomaa na kusimamia kauli yake ya kuwa imemtokea hivyo akiwa faragha na mwenza wake.

Mpaka sasa jitihada mbalimbali zinaendelea kufanyika kwa jamaa huyo bila mafanikio. Jamiiforums ni sehemu pekee yenye kila aina ya watu. Maoni,ushauri, pia uzoefu wenu katika masuala mbalimbali katika jamii yamekuwa msaada mkubwa.

Je ni kweli kuwa jamaa tatizo lake limetokana baada tu ya kutoka faragha na mwenzi wake au kuna kitu kipo nyuma ya pazia hataki kuweka wazi?
Swali fikirishi huyo mwenza wake yuko wapi?
 
Priapism hiyo ni issue ya kawaida Hospitali.

Anafanyiwa procedure ya kawaida tuu anakaa sawa.

Hakuna risk ya kulala mazima.

Ni kwamba Veins zimekuwa blocked hivyo damu hairudi kwenye circulation. Hence inajaa hapo hapo kwenye Uume na kusababisha prolonged erection.

Aende hospitali watoe hiyo damu.
 
Ni dereva wa malori ya mchanga. Ni takribani siku kumi na moja zimepita tangu kutokewa na hili janga. Kwa mujibu wa maelezo yake, baada ya kutoka kwenye mishe zake moja kwa moja alirejea nyumbani bukheri wa afya.

Usiku wakati yupo kwenye mapumziko na mwenza wake,ndipo tatizo lilipomuanzia. Ni baada tu ya kutoka kustarehe na mwenza wake, mnara tangu usome 5G umeendelea kuwa hivyo hadi leo hii.

Pamoja na hilo,jitihada mbalimbali za kawaida zimefanyika kuweza kumnusuru na hali hiyo ikiwemo kumpa fursa ya kufunguka yeye mwenyewe kama kuna sehemu yoyote alipita tofauti na mwenza wake ila jamaa anakomaa na kusimamia kauli yake ya kuwa imemtokea hivyo akiwa faragha na mwenza wake.

Mpaka sasa jitihada mbalimbali zinaendelea kufanyika kwa jamaa huyo bila mafanikio. Jamiiforums ni sehemu pekee yenye kila aina ya watu. Maoni,ushauri, pia uzoefu wenu katika masuala mbalimbali katika jamii yamekuwa msaada mkubwa.

Je ni kweli kuwa jamaa tatizo lake limetokana baada tu ya kutoka faragha na mwenzi wake au kuna kitu kipo nyuma ya pazia hataki kuweka wazi?
Asee, poleni sana

Hiyo hali inatibika hospitalini, kitaalamu hujulikana kama Priapism. Kwa hiyo mpelekeni hospitali achaneni na imani potofu, halihusiani na sijui mambo gani nyuma ya pazia. Ni tatizo tu la kiafya.

Tena alitakiwa awahi kwani likikaa muda mrefu bila kutibiwa madhara ni makubwa.

Kila la kheri.
 
Back
Top Bottom